Simba SC 0-0 Young Africans SC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Nachoomba leo mechi isiharibiwe na refa , matukio ya penati yawe ya foul za uhakika .
 
Dah! Nimecheka. Nchi hii tushakubali kutoendelea. Yaani mtu anakaa anawaza igonge saa sita kamili usiku aachie thread. Noma.
halaf wanailaumu serikali kwa umasikini, watu wanaingia uwanjani saa 3 asubuhi michi saa 11!
 
Uliza makolo wenzako amefunga free kick ngapi mpk sasa na sio kwenye hii ligi tu ila ni mpk kwa timu yake ya Taifa

Mkifanya makosa karibu na box tambueni hiyo ni goal la bure
Kwahyo yeye uchezaji wake ili afanye kuonekana ni mpk itokee faulo tenaa karib na goli ? Basi kumbe ni topolo tuu kama matopolo menzake.
 
umeongea vyema asee inabidi tukuweke bench la ufundi
 
Nafikiria tu hapa

Kama morison hakufunga goli na akavua bukta akawaoneshea yanga chupi

Walahi leo huyu jamaa akifunga anaweza kuwaonyeshea ubo kabisa
 
Yan kwa mawazo hayo....Yanga tujiandae kuhama hii dunia leo
Nafikiria tu hapa

Kama morison hakufunga goli na akavua bukta akawaoneshea yanga chupi

Walahi leo huyu jamaa akifunga anaweza kuwaonyeshea ubo kabisa
 
Tatizo simba akishinda kelele zinakuwa nyingi sana kuanzia mtandaoni mpk mtaani ila Yanga akishinda ni kawaida tu na mitaa inakuwa imepoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…