Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh eti mngetengeneza nafasi, nafasi zinatengenezwa na mafundi sa we wachezaji wa kutengeneza hizo nafasi unao!?😂🤣🤣.Hahahaaa. Siezi nuna sababu mumewashambulia vya kutosha na nilijua ni lazima mutapata bao.
Tungetengeneza nafasi nyingi kama hizi zenu basi ni dhahiri tungepata bao za kutosha sio hii papatu papatu. 🤣🤣🤣
Sinaga kawaida hiyo rafiki. Nipo.
Si kuna watu humu huwa mnasema hakuna uchawi na wala hauna athari yoyote? Watu wa hivyo huwa nawacheki kisha najisemea:siku utoto ukiwatoka kichwani wataelewa tu.Mipira haiendi golini, walah tumetengenezwa
Ndio ama ulienda kwA chamaMpira wa sako ulienda kwa kagere?
kampenja kamekazania offside offside, sijui kina chuki binafsi au niajeMchezaji wa mbeya kwanza aliugusa kwanza mpira ķabla ya kagere. Clear goal.Mnaobisha bora mshabikie rede.
Nimewaachia nyie msifie, mie ninachotaka ni timu yangu ya Simba ioneshe kandanda Safi na haya mambo yakubebwa bebwa yaishe.We Simba gani husifii hata zuri moja la timu yako?! wacha usanii utopolo..
Hawa ndio mamluki wenyewe Hawa kama manara tuSidanganyiki, wewe ni Simba nusu Yanga nusu, ila unaipenda zaidi Yanga ndio inakufaa, Simba unazuga kuipenda ila unaichukia kimoyomoyo
😀 Sasa we mwenye watengeneza nafasi magoli yako wapi? . 😀Eeh eti mngetengeneza nafasi, nafasi zinatengenezwa na mafundi sa we wachezaji wa kutengeneza hizo nafasi unao!?😂🤣🤣.
Kazi imeisha Sasa zamu ya kimataifa vipi Ushajiandaa kwenda kupokea wageni!😂
Hawajui boli hawa, halafu wamalila wao na mipunga habari za mpira wapi na wapi mzee?Kuna mtaalam nadhani anaye pembeni. Goli ni halali kabisa kwakuwa kuna mtu wa Mbeya Kwanza aliugusa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muone haya nyinyi Yanga au timu gani?Ifike hatua tuone haya kwa kubebwa huku
Hivi kuikosoa timu yako ni jambo la ajabu kwenye mpira? Unamfahamu Roy Keane? ni miongoni mwa ma Legend pale Old Trafford ila huwezi mkuta hata siku moja anasifia sifia Chama lake bovu la Man UnitedHawa ndio mamluki wenyewe Hawa kama manara tu
Haijalishi tumebebwa, kikubwa tumepata point 3[emoji3571][emoji3571][emoji3571][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2110489