Geofrey_GAMS
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 496
- 229
Vipi leo refa amechezesha vizuri sio?Boko alikua anashindwaje kufanya vitu kama hivi?
Ama kweli nimeamini kila mtu na utongozaji wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi leo refa amechezesha vizuri sio?Boko alikua anashindwaje kufanya vitu kama hivi?
Ama kweli nimeamini kila mtu na utongozaji wake
Hizo dakika 5 hata Namungo wangeweza kuzitumia na kushinda 3-0tumebebwa
dkk5 za nyongeza...
Imefikia hatua ya kulalamikia hadi dk 5 za nyongeza?Unajiulza kwa mpira gani uliopotea hivo
Tumebebwa vipi boya wewetumebebwa
dkk5 za nyongeza...
Dakika ya ngapi mkuu?Tayal tume maliza
apewe dk kutosha kuliko boccoJamani tumekubaliana kuwa kagere ni asset simba?
Utadhani dakika za nyongeza timu nyingine haiwahusu.Imefikia hatua ya kulalamikia hadi dk 5 za nyongeza?
Aaaah kwa style hii hakutakuja kuwa na refa mzuri Tz😂
Dk 5 hazikuwa halali mpira haujapotea hivyoooImefikia hatua ya kulalamikia hadi dk 5 za nyongeza?
Aaaah kwa style hii hakutakuja kuwa na refa mzuri Tz😂
Kulikuwa na substitutions ngapi? + stoppageShukrani kwa dk za nyongeza tena za ajabu ajabu
Mbeleko fcJamani tumekubaliana kuwa kagere ni asset simba?
hata mkude ,ana zile pasi ndefu anazifikisha vizuriNI MARUFUKU AJIBU KUANZIA BENCHI TENA, HUYU NDIYE CHAMA MPYA PALE MSIMBAZI
Inachukua sekunde ngap kufanys sub!?Kulikuwa na substitutions ngapi? + stoppage
imetoka hiyo,Leo tungedondosha tena point 2 gap ingekuwa inaongezeka tuMuhimu point tatu.