Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Fugeni tu kidonda siku Dr akikifanyia operation msianze kutafuta mchawi

Simba Ni Mbovu hiii.
 
Makolo hamna timu msimu huu bali mna wahuni tu mliowaokota na kuwavalisha jezi
 
Kwa mbinde sana. Simba mjitafakari aisee.
Kama ushindi ni wa magumashi namna hii si ajabu mechi ijayo mkaambulia kipigo.
 
Back
Top Bottom