Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Kumbe hizo dk kaongezwa Simba pekee?Shukrani kwa dk za nyongeza tena za ajabu ajabu
Kwamba Namungo hawakua na shida nazi sio? Basi sio mbaya sisi tumezitumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hizo dk kaongezwa Simba pekee?Shukrani kwa dk za nyongeza tena za ajabu ajabu
Jana tuliwafunga Ruvu mkaumia ninyiWachezaji wa Namungo hawaamini kama zile hela walizoahidiwa na GSM zimepeperuka
Afu kafungwa Namungo wanaumia watu fulani!!
Yule Mnyama kachomoka kwa mbinde leo.
Mtani taratibuTumebebwa vipi boya wewe
Kama nyinyi mlivyojitafakari kwa misimu minne?Kwa mbinde sana. Simba mjitafakari aisee.
Kama ushindi ni wa magumashi namna hii si ajabu mechi ijayo mkaambulia kipigo.
Kwa mbinde sana. Simba mjitafakari aisee.
Kama ushindi ni wa magumashi namna hii si ajabu mechi ijayo mkaambulia kipigo.
kagere anatumiaga chance vizuriMpaka msimu unaisha hakutakuja kutokea heading kama ya leo, jamaa kafanya jihad ya hatari sana
Simba angekuwa anaongoza refa angeongeza dk 3.tumebebwa
dkk5 za nyongeza...
Mjitafakari, mnacheza na timu iko pungufu kwa dakika 35 bado ulimi nje?Boko alikua anashindwaje kufanya vitu kama hivi?
Ama kweli nimeamini kila mtu na utongozaji wake
Makolo hamna timu msimu huu bali mna wahuni tu mliowaokota na kuwavalisha jezi
Na kwa nini Ajib mnamuweka benchi?kagere anatumiaga chance vizuri
Tuma salamu kwa watu watatuJana tuliwafunga Ruvu mkaumia ninyi