Utopolo bna!Oya simba mna kikosi kibovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo bna!Oya simba mna kikosi kibovu
Dk 5 hazikuwa halali mpira haujapotea hivyooo
Utopolo bna!Oya simba mna kikosi kibovu
Kama alivyo wahujumu Ruvu ShootingVipi leo refa amechezesha vizuri sio?
Kama rejeo la gori la Dodoma jijiThank you Kagere. Mchawi wako Boko tu. Hili goli ni juhudi ya kiwango cha juu kabisa kwako.
Walijaa kweliiSasa huu uzi mtaukimbia na hivi tumeshinda, ngojeni
Huu ndo ukweli wenyewe.Ajibu ni Chama mtupu
Manila Ile rafu yake ilistahili red cardMjitafakari, mnacheza na timu iko pungufu kwa dakika 35 bado ulimi nje?
Ngoja ninywe bia za watani hapa maana walikosa amani kabisa.
Yanga hii ndio inayojuwa kutumia gape ya red card, ukweli ndio huo.
kila mwalimu anakuja mbinu zakeNa kwa nini Ajib mnamuweka benchi?
Ndio ushangae..Ila Makocha wakiwaamini baadhi ya wachezaji Hawa utopolo tunaweza kuwazidi kete Kama tulivyofanya last seasonWachezaji wa Namungo hawaamini kama zile hela walizoahidiwa na GSM zimepeperuka
Afu kafungwa Namungo wanaumia watu fulani!!
Wao walitaka ziongezwe ngapi?Uto mnalalamika dk 5 za nyongeza kwani hao namungo walifunga goli kwenye hizo dk za nyongeza likakataliwa! Nyie uto vipi hebu tulieni!
dk huwa ni kawaida kuwa 3-5,na inategemeana na upotezaji wa mda .Wao walitaka ziongezwe ngapi?
Kuna sheria ambayo imeweka kiwango cha kuongeza dakika za nyongeza?
Tuliza wenge hii heading hamji kuiona mpaka msimu unaishaMakolo tumepata goli, refa katimiza lengo, unaongezaje dakika 5 wakati mpira haujasimama