kama ni 3-5 sasa huyo kinabo alikua analaumu nini?dk huwa ni kawaida kuwa 3-5,na inategemeana na upotezaji wa mda .
Pia hata hivo Namungo walipoteza mda ,Molinga alitoka uwanjani kwa kujivuta,kipa wa Namungo alipoteza mda zaidi ya mara
Yeah ni kweli hakuna timu kwasababu ishatoka uwanjaniHakuna timu hapo mkuu we mwenyewe umeona refa kajitahidi kadri awezavyo
ni maumivu tu ya goli ya kagere ,maana dk za nyongeza ni busara za refa ,kuna wengine Hadi dk 7kama ni 3-5 sasa huyo kinabo alikua analaumu nini?
Mkuu kunywa maji roho itulie, umeshaambiwa dakika 90 zimekamilika na uwanjani ni kweli hakuna timuHakuna timu hapo mkuu we mwenyewe umeona refa kajitahidi kadri awezavyo
Usipende kuonyesha mapungufu yako hadharani.Hahahahaha! Watu walisha jua mapema na uzi upo kwamba kwa ushindi kwenu lazima Kadi itoke bila hivyo hakuna kitu
Kuna time aliipendelea sana simba, ila uzuri ni keamba katika hizo nyakati hakuna goli ambalo simba ilipataVipi leo refa amechezesha vizuri sio?
Goli la kagere limetokana na mbeleko?Mbeleko fc
Mkuu Samahan naomba unisimulie sijaangalia mechi...Dkk Za nyongeza kacheza Simba peke yake?Dk za nyongeza si kwa ajili ya timu zote kucheza
Dk za nyongeza ni kwa maana ya kufidia muda uliopotea ndani ya dk 90
Dk za leo ni za maruwe ruwe
misuko suko ndio mwendo wa ngalawaYule Mnyama kachomoka kwa mbinde leo.
yule refa wa jana watu walimuona kivule juzi akiwa sambamba na hersi pamoja na na dalali wa uwanja wakiandikishana serikali ya mtaaJana tuliwafunga Ruvu mkaumia ninyi
AndamanaDk za nyongeza si kwa ajili ya timu zote kucheza
Dk za nyongeza ni kwa maana ya kufidia muda uliopotea ndani ya dk 90
Dk za leo ni za maruwe ruwe
Saizi lawama kwa mugalu zimeisha?Goli alilofunga Kagere ni Juhudi Binafsi, Bocco Ajifunze akae Bench hata mechi 10 ameona Kagere alivyojituma bila kuogopa?
Ni mshambuliaji Gani Bongo angeweza kuingiza kichwa katikati ya Watu 3.
Tukisema tunamtaka Kagere Tunamaanisha.
saizi wamepoteana kama kunguni walioshtukizwa na mwangaWalijaa kwelii
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]saizi wamepoteana kama kunguni walioshtukizwa na mwanga
Sasa hivi si wapo on fire,sisi mdogo mdogo hivi mara timu chemistry imekubali ,Mara mtu anadondosha points ,mbona watatafutanaDah Simba mdogo mdogo tuu kama anavyo kuwa kwenye mawindo.
Mbona watafarakana tuu utopolo mbwa wakubwa sana waleee
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app