koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,763
- 5,167
Hunaunacho jua we ngedere
Usibishane na kocha we paka fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usibishane na kocha we paka fc
umeona Ajibu alivyoingia zili mbio zisizo na maana zikapungua,mpira ulitulia hamna presha za mi mbio zisizo na maana,Ajibu ajitahidi mazoezini makocha wanakuja wamwone siyo kama leo mpaka mashabiki wapige kelele ndo aingieMkude Ajibu ni Damu ya Simba kaka.
Simba bado hatuna kikosi mechi ya 5 asaivi kikosi kitaanza kujulikana tuu.
Simba ni Simba tuu jamani...![emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Palikua na sub ngapPitia sheria za refereeing. Kila sub nusu dk.. ongezea na za kusimama mchezo.
Hivi mmeangalia au mmesimuliwa? Yule ni morrison au Bocco? Na hajampiga kwa kiwiko amemsukuma kwa mikonoKama Morison kapiga Mtu kiwiko na Hakuna Kadi ni maajabu ya maamuzi.
Mbeleko fc,Rose muhando fc,red card fcGoli la kagere limetokana na mbeleko?
Ulikua una angalia mpira ukiwa umefumba jicho moja?
Morrison alimtia mwamuzi Dole na hakupata kadiHivi mmeangalia au mmesimuliwa? Yule ni morrison au Bocco? Na hajampiga kwa kiwiko amemsukuma kwa mikono
unatamani iwe hivoSimba hii tupo hapa hapo hujaanza kusafiri ,mmeanza na Gomes sijui kesho mtamtimua nani.
Nitamani iwe au tayari ishaanza kuwa hivyo mmeanza na Gomes sasa hivi mnadai kuna viongozi wanaisaliti Simba, mwisho wa siku mtatimuana na kubakia mashabiki.unatamani iwe hivo
Ndo hayo tu ina maana hakuna malalamiko zaidi ya hayo?Mbeleko fc,Rose muhando fc,red card fc
Pole......Jembe Kilo kweli? Hilo ni jembe tani.....hilo Jembe litakuwa limekuzidi uzani....! Baskeli Yenu Ya Miti tunajua ni Wapi Tutakapoikuta.....Ni pale Tutakapoanza kupandisha Milima.....! Mtaomba poo..!Makolo tumepata goli, refa katimiza lengo, unaongezaje dakika 5 wakati mpira haujasimama
Wa kubebwa fcNdo hayo tu ina maana hakuna malalamiko zaidi ya hayo?
Walikuwa wamoto sanaTathimini;
Mkude na Ajib leo mmewaonajaje?
Umeumia sana poleWa kubebwa fc
Morison kampiga mtu kweli , refa alikuwa anaangalia kwingine ,hata washika bendera hawajamwoa ,replay ilirudiwa Mara moja tu Ila morison mjanja alichokifanya haikuonekana kwa marefaHivi mmeangalia au mmesimuliwa? Yule ni morrison au Bocco? Na hajampiga kwa kiwiko amemsukuma kwa mikono
Ndo hayo tu?Wa kubebwa fc
Basi hyo sijaona niliona ile ya BocoMorison kampiga mtu kweli , refa alikuwa anaangalia kwingine ,hata washika bendera hawajamwoa ,replay ilirudiwa Mara moja tu Ila morison mjanja alichokifanya haikuonekana kwa marefa
Duncan ni mzuri sana inabidi achezeshweYaani Sisi Simba Jamani.
Kocha Una Duncan Nyoni, Unamuanzisha Mhilu. Tufungwe tuseme tunahujumiwa….
broo yule Duncan nyoni, peter Banda na mugalu(ingawa ni majeruhi ni wazuri)Wachezaji wa kigeni wanastahili kuanza kwa sasa ni watatu tu
Inonga
Bwalya
Morrison