Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Makolo tumepata goli, refa katimiza lengo, unaongezaje dakika 5 wakati mpira haujasimama
Unateseka kama jamaa huyu

1635969298586.png
 
Kweli kakaaa
Sema tuu ukongwe wa pale Msimbazi ndo unampa heshima
Boko ninae mjua si wakuacha ile Pass kakaaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ni kama mpira ambao hakuutegemea,wachezaji wa Simba wasicheze kwa hasira na presha ,wakirelax hata ushauri ni rahisi kufuata ,Sasa wanakuwa na presha ya kushinda tatizo kila mtu anataka aonekane hero
 
ni kama mpira ambao hakuutegemea,wachezaji wa Simba wasicheze kwa hasira na presha ,wakirelax hata ushauri ni rahisi kufuata ,Sasa wanakuwa na presha ya kushinda tatizo kila mtu anataka aonekane hero
Kweli kabisa wachezaji wetu wa pale Msimbazi wanacheza kutokana na vipaji vyao pamoja na Media.

Na ndomaana tuna tafuta kocha Officially.
Naamini bado tunayo nafasi ndugu.
We skizia tuu wale vyura watafarakana tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna Simba inavyocheza ni Bora Mechi zao zichezwe saa 8 mchana pale uwanja wa zamani wa taifa. Nimatumizi mabaya ya nyasi za uwanja na umeme wakati Kiwango Chao ni Cha hovyo. Simba ya Sasa inaitaji refa aji dhalilishe ili Simba ipate matokeo.

Shabiki mwenzio wa Namungo anatamani aingie uwanjani, wewe upo kwenye keyboard

1635969725645.png
 
Afu amna kitu kinaudhi kama kukutana na sampuli hii ya mashabiki

Hivi hao kina chama, ni mara ngapi humu wakiwa wanacheza tumekua tukiwaponda kuwa wameonesha kiwango kibovu?

Juzi tumefungwa na yanga pale goli moja, bado mandezi yameendwlea kusema tumefungwa kwasababu ya kukosa hao wachezaji kwenye hiyo mechi

Wamesahau kua mechi kama hiyo tulicheza na tukafungwa tukiwa na hao hao wachezaji

Tumefungwa na kaizer chiefs goli nne kwao, tukiwa na chama na mikson, unaweza kukumbuka kipindi hicho lawama zilienda kwa nani?

Hizi habari za kusema fulani na fulani ndio tegemeo la timu linashusha morale kwa mwachezaji wengine waonekane kwamba ni unneccesary, na hao wanao onekana ni bora wanalewa sifa kwasababu wanacheza na jukwaa

Kibu kafika karibu na goal lakini kapaisha, sasa hapo utasemaje kuwa sababu ni mikson au chama?
We madafanta, get life! Usifosi tuwe ktl group thinking...
 
Back
Top Bottom