Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Ile ya bocco ya kijinga ,kapteni kufanya kitu kama kile halafu yeye ndo analalamikaBasi hyo sijaona niliona ile ya Boco
Ile minoti inayoahidiwa na GSM kila mechiWakubwa wenzangu wa Simba vita kubwa sana hii msimu huu na ukizingatia ma hela ya Bakharesa na Sport Pesa nasema hivi hata kama goli la mbeleko goli la kadi ama goli la niniii
Hapa Sifa point 3
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Bocco umri umemtupa mkogo soka limeanza kumpoteaBocco kila mpira anapoteza
Watakuja kushtuka tuko mbele yaoHakuna cha kocha biriani wala cha nini kwanza point 3 alafu ndo mengine ya endelee
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa Sasa ni changamoto ngoja tumsubiri mugalu aponeHilo Moja la simba anafunga nani kaka? Hakuna timu hapo labda CS ya 0-0
Inatakiwa aanzie benchi awe anaingia dk ya 75-80Bocco umri umemtupa mkogo soka limeanza kumpotea
Kweli nlidhami umemsahau Enoki Nonga BakaWachezaji wa kigeni wanastahili kuanza kwa sasa ni watatu tu
Inonga
Bwalya
Morrison
Kweli kakaaaBocco umri umemtupa mkogo soka limeanza kumpotea
Halafu inazidiwa point na timu iliyoruhusu goli moja, what a fan?Taarifa
Simba ndio timu pekee haijaruhusu Goli
Mugalu ni majeruhi?broo yule Duncan nyoni, peter Banda na mugalu(ingawa ni majeruhi ni wazuri)
Yani mnatia huruma kwakweli, kikosi kipana kimefia wapi? Mkienda kule Ruangwa ni aibu itawakuta.Nataka ushindi wa namna hii, yani ule wa mwishoni unakua na stimu sana
what a fan ?Halafu inazidiwa point na timu iliyoruhusu goli moja, what a fan?
Unateseka kama jamaa huyuMakolo tumepata goli, refa katimiza lengo, unaongezaje dakika 5 wakati mpira haujasimama
Unateseka kama jamaa huyuSijui dakika 5 zimetokea wapi
ni kama mpira ambao hakuutegemea,wachezaji wa Simba wasicheze kwa hasira na presha ,wakirelax hata ushauri ni rahisi kufuata ,Sasa wanakuwa na presha ya kushinda tatizo kila mtu anataka aonekane heroKweli kakaaa
Sema tuu ukongwe wa pale Msimbazi ndo unampa heshima
Boko ninae mjua si wakuacha ile Pass kakaaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa wachezaji wetu wa pale Msimbazi wanacheza kutokana na vipaji vyao pamoja na Media.ni kama mpira ambao hakuutegemea,wachezaji wa Simba wasicheze kwa hasira na presha ,wakirelax hata ushauri ni rahisi kufuata ,Sasa wanakuwa na presha ya kushinda tatizo kila mtu anataka aonekane hero
Kwa namna Simba inavyocheza ni Bora Mechi zao zichezwe saa 8 mchana pale uwanja wa zamani wa taifa. Nimatumizi mabaya ya nyasi za uwanja na umeme wakati Kiwango Chao ni Cha hovyo. Simba ya Sasa inaitaji refa aji dhalilishe ili Simba ipate matokeo.
We madafanta, get life! Usifosi tuwe ktl group thinking...Afu amna kitu kinaudhi kama kukutana na sampuli hii ya mashabiki
Hivi hao kina chama, ni mara ngapi humu wakiwa wanacheza tumekua tukiwaponda kuwa wameonesha kiwango kibovu?
Juzi tumefungwa na yanga pale goli moja, bado mandezi yameendwlea kusema tumefungwa kwasababu ya kukosa hao wachezaji kwenye hiyo mechi
Wamesahau kua mechi kama hiyo tulicheza na tukafungwa tukiwa na hao hao wachezaji
Tumefungwa na kaizer chiefs goli nne kwao, tukiwa na chama na mikson, unaweza kukumbuka kipindi hicho lawama zilienda kwa nani?
Hizi habari za kusema fulani na fulani ndio tegemeo la timu linashusha morale kwa mwachezaji wengine waonekane kwamba ni unneccesary, na hao wanao onekana ni bora wanalewa sifa kwasababu wanacheza na jukwaa
Kibu kafika karibu na goal lakini kapaisha, sasa hapo utasemaje kuwa sababu ni mikson au chama?