uzuri tu ukuta mzuri wa ulinziKweli kabisa wachezaji wetu wa pale Msimbazi wanacheza kutokana na vipaji vyao pamoja na Media.
Na ndomaana tuna tafuta kocha Officially.
Naamini bado tunayo nafasi ndugu.
We skizia tuu wale vyura watafarakana tuu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Dakika si wanongezwa wote?.Yaani simba wanaongezwa dk nyingi sana kila mechi
Kwenye droo ya juzi mwishoni mwa mpira kuna mwana utopolo alikua akikata miuno kushangilia sare, leo nimemuona kalegea kama mdomo wenye kubeli
Mechi ijayo kutakuwa na Kocha Mkuu tayari.Kwa mbinde sana. Simba mjitafakari aisee.
Kama ushindi ni wa magumashi namna hii si ajabu mechi ijayo mkaambulia kipigo.
Kakumbatiwe ulaleHalafu inazidiwa point na timu iliyoruhusu goli moja, what a fan?
Timu mbovu haijaruhusu goli,,, hawa jamaa muda si mrefu ataanza kulaumiwa karia kama kawaida yaoTimu mbovu na umeiacha point nne ha ha ha watani subirini mtapoanza kupoteana kwa sasa oneni maana ya kufurahia ushindi maana muda wa kununa siyo mbali
Alipewa kadi ya njano, acheni hizoMorrison alimtia mwamuzi Dole na hakupata kadi
Mwaka huu watakuja kujinyea kwa presha maramamakeShabiki mwenzio wa Namungo anatamani aingie uwanjani, wewe upo kwenye keyboard
View attachment 1997665
Mkono mmoja wa hersi wa kushoto nauona umeshika ziwa la msukule, ila mmoja siuoni kwasababu kaupitisha kwa nyuma
Ha ha ha ha ha ah ha nikajua kama anasubiriwa kupogwa deki kwenye rindeeeeTimu mbovu na umeiacha point nne ha ha ha watani subirini mtapoanza kupoteana kwa sasa oneni maana ya kufurahia ushindi maana muda wa kununa siyo mbali
Eeeh ndo manaake wao wacha wakae na mzanzibari wao wakijua wamemaliza maisha😂Watakuja kushtuka tuko mbele yao
Wasichokijua Ni kuwa hatujaruhusu nyavu zetu kutikiswa
Kwa hiyo ukimtia Dole mwamuzi unatakiwa update njano tu!!?Alipewa kadi ya njano, acheni hizo
Tatizo lake Ajibu ni moja tu,NI MARUFUKU AJIBU KUANZIA BENCHI TENA, HUYU NDIYE CHAMA MPYA PALE MSIMBAZI
Mi naona Yuko slow sanaDuncan ni mzuri sana inabidi achezeshwe
Simba hii haingii makundi CAF conf. Cup. Redio arrows atamfunga simba nje ndaniKwa namna Simba inavyocheza ni Bora Mechi zao zichezwe saa 8 mchana pale uwanja wa zamani wa taifa. Nimatumizi mabaya ya nyasi za uwanja na umeme wakati Kiwango Chao ni Cha hovyo. Simba ya Sasa inaitaji refa aji dhalilishe ili Simba ipate matokeo.
Kwahiyo hizi mbiringe ni kwasababu hakuna kocha mkuu?? Kocha wenu si kasepa juzi tu hapo.Mechi ijayo kutakuwa na Kocha Mkuu tayari.
Kwa hiyo Wapinzani mjiandae kisaikolojia.
Kabisa mkuu yanga bingwa hilo halina ubishi hapo chini sasa simba na wengine mpambane kuipata nafasi ya 2 maana wote mna viwango vinavyokaribiana.Kama Ile Penalt ya Jana...Yanga Bingwa Mwaka huu[emoji3516][emoji851][emoji1666][emoji41]