Liutopolo hili limeumia sana.Mkuu Unatimu Sasa Ya Kushinda Goal Zaidi Ya Moja Hapo?
Maana Hata Hilo Moja Midfielders Ndio Wanatapatapa Kupatikana Maana Kagere Na Wenzie Wanaingia Uwanjani Kushangaa Waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liutopolo hili limeumia sana.Mkuu Unatimu Sasa Ya Kushinda Goal Zaidi Ya Moja Hapo?
Maana Hata Hilo Moja Midfielders Ndio Wanatapatapa Kupatikana Maana Kagere Na Wenzie Wanaingia Uwanjani Kushangaa Waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukachukua ulichokosa. Au unadhani kila mechi ni shirikisho?mkaongoza kundi gani shirikisho?
Kama Utopolo walivyowashangaa wasomali jana.
Ingekuwa bora ingekuwa inacheza club bingwa au confederation leoNyie Jamaa Siku Hizi Mnawaza Miamala Sana.
Ukiona Timu Umeanza Kuiwazia Inatoa Miamala Basi Hiyo Timu Jua Ni Bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka apakatwe,Simba kabebwa
huna akili kisinda mkubwa weweTukachukua ulichokosa. Au unadhani kila mechi ni shirikisho?
SIMBA KABEBWA..Ulitaka apakatwe,
Kwanza Unateseka Toka pande zipi?
😁😁😁😁🔥🔥
Hunitoi Yanga, endeleeni kuotea tu Simba wa kufugwa nyiee😂🏃♀️Njoo huku 🦁🦁
Hunitoi Yanga, endeleeni kuotea tu Simba wa kufugwa nyiee[emoji23][emoji2088]
Big team for smart people, we ni smart uliyepotea njia , rudi nyumbani 🦁🦁Hunitoi Yanga, endeleeni kuotea tu Simba wa kufugwa nyiee😂🏃♀️
bebwa na wewe mbna rahs kubebwSIMBA KABEBWA..
Lini uliwahi itakia mema?Tuisila nipigie hawa makolo
te te te te yanga watabisha na hiloLinapokuja swala la mashindano ya kimataifa Simba Sc huwa haina tofauti ma Real madrid, wanabadilika na kuwa wengine kabisa.
Yenu ndio hayo mlishindwa nyie sio Simba hata hamu ya kuiga tu hamuoni au kushangaa mlipigwa nje ndani mechi moja tu simba anawakilisha nchi iweje aongoze kundi nyie tangu timu yenu ianze imewahi kuongoza kundi?Simba1-3 Rc berkane
Lini mliwahi itakia Simba ushindi miaka minne sasa? Timu yenu lini iliongoza tu kundi achia kufika robo finalNikiwa kama shabiki nguli wa Young Africans SC naitakia RS Berkane kipigo kitakatifu kutoka kwa mnyama mkali Simba SC.
Lini mlitutakia heriSimba 0-2 berkane
Nikiwa Sumbawanga mkuu, Simba mna makelele sana siwapendii😀Unaumia ukiwa wapi [emoji23][emoji23]