XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Assist haiwezi kuwa assist bila kuwa utilized.Basi asifunge, tuambiwe ana assist ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assist haiwezi kuwa assist bila kuwa utilized.Basi asifunge, tuambiwe ana assist ngapi
Ngapi ngapi kwani mrembo..mnaruka ruka tu..hii ni draw.Endelea kuota[emoji3]
Hata mimi naelewa msukule yupo kimsalahi ila hili gari lenu bado lipo gereji, linashindia uzoefu tu na sio uboraza kuambiwa changanya na zako, manara hanaga jema yupo kimaslahi tu hapo utopoloni.
Unaangalia mpira lakini ??Hata mimi naelewa msukule yupo kimsalahi ila hili gari lenu bado lipo gereji, linashindia uzoefu tu na sio ubora
Napata mashaka na uwezo wako kichwani, kuna kosa gani kuuliza?acha ushamba
Kibu ni straika wa dunia wewe, acha kukashifu waleviKibu D, kuna walevi wanamringanisha na mayele akili mbovu mno
Na watalipata tu.Watatafutiwa tuta jingine
Ni juzi tu wanasimba walimsifu sana huyu chibuku😂Nadhani Kibu ni mchezaji wa hovyo kuwahi kutokea. Yaani ana heka heka nyingi lakini accuracy yake ni zero . Hana focus hata kidogo . Wachezaji kama hawa Simba isitegemee kupata matokeo na mavitu kama haya kwenye CAF MAKUNDI.
Kuna huyu Kagere nae , amekuwa Uharo, naanza kumuelewa Gomezi. Nadhani hizi takataka zikae benchi au zitolewe kwa mkopo.
Sakho anawalisha sana lakini kagere na kibu wamekuwa uharo
Nipo live toka dakik ya kwanza, japo kidogo leo Simba wamebadilika tofauti na michezo ile mingine ila hauwezi kulinganisha kabumbu wanalotandaza na ambalo tumezoea kuliona kwa wana utopoloUnaangalia mpira lakini ??
Nitakurudia baada ya dakika tisini kukamilikaHakuna timu hapo wanaruka ruka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. watu mna laana.. unamwita lucky Dube wetu chibuku???Ni juzi tu wanasimba walimsifu sana huyu chibuku[emoji23]
Pia unaweza usirudi kama mtachezea ko ondoka na yote mawili mkuu ila kwa timu huna
Straika wa dunia hahahaha, anabutua tu hata aaangalii anapiga wap?Kibu ni straika wa dunia wewe, acha kukashifu walevi
Ule wa Jana na Dodoma jiji fc? Timu ambayo hata kitayose ya ligi daraja la pili wanajipigia wakitaka[emoji28]Kama wauona huu mwingi nakwambia utakuwa ujawah ona mpira wa yanga utasema wanapiga wote maana huu wa simba ni mdg mno