Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niteseke wapi wakati najua tayari fungu lishaongea so matokeo na yajua mnashinda hii.Unateseka ukiwa wapi ? [emoji23]
Kama refa wa leo ametokana na kiwanda hicho.Tz kuna kiwanda cha kuzalisha wajinga
Naona Jana mliposhinda ndy mkaamua muzike maiti ili mipira ya Simba isiingie golini..Sawa tutaona dakika 90 Nani mshindi[emoji28]Matokeo yadhihirishe hilo.
Tulia kwanza uyu mtoto Sakho atupe raha.Kwa hiyo aliacha kwenda Arsenal akaja Simba!!??
atakuwa ni kichaa apimwe akili!?
Hakuna timu hapo wanaruka ruka tuNaona Jana mliposhinda ndy mkaamua muzike maiti ili militia ya Simba isiingie golini..Sawa tutaona dakika 90 Nani mshindi[emoji28]
Wacha turudi kipindi cha pili
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] mkuu gari ndo limewaka hivyo, mliaminishwa na manara kwamba Simba mbovu [emoji23][emoji23]Niteseke wapi wakati najua tayari fungu lishaongea so matokeo na yajua mnashinda hii.
Kama wauona huu mwingi nakwambia utakuwa ujawah ona mpira wa yanga utasema wanapiga wote maana huu wa simba ni mdg mno
Gari liwake wapi Viporo FC ,fungu linatembea hapo na ndio maana mnapenda sana Viporo.[emoji23][emoji23] mkuu gari ndo limewaka hivyo, mliaminishwa na manara kwamba Simba mbovu [emoji23][emoji23]