Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Ingawa nimechapia hapo kwenye Bibi=bubu Ila umenielewa ..Ila anaongea siyo?Domo zege uyo[emoji23][emoji23][emoji28]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa nimechapia hapo kwenye Bibi=bubu Ila umenielewa ..Ila anaongea siyo?Domo zege uyo[emoji23][emoji23][emoji28]
Lambalamba mleweshe mkia huyu na juisi ya ukwaju
Tulia upate burudani ya soka safi kutoka hispania, acha maneno manenoNgapi mpaka sasa?
Ili iweje!?Simba fanyeni kumfunga huyo Azam tufungue mwaka vizur
Tangu huu msimu uanze, Kapombe anaonekana kukosa utulivu kabisa.Huyu Kapombe leo anapoteza sana mipira
These players cant even pass the ball 🤣🤣🤣🤣🤣Si umeona hapo wamepata kona?
Mwaka mpya misosi mingi sijajuaNyie huyo sakho kala nini leo ??
Senagal..usajili wake kuja Simba ulizua maswali Sana kwenye media houses za Senegal kwamba kwannn mchezaji mwenye kipaji km yeye badala akacheze ulaya amekuja kucheza kusini mwa jangwa la Sahara tena nchi yenyewe Tanzania ambayo hata kwenye ranks za FIFA tunatia aibu[emoji28]Hivi Sakho ni raia wa wapi?
Kwani ungeandika kiswahili ungepungukiwa nini? 😂These players cant even pass the ball 🤣🤣🤣🤣🤣