Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba wanapenda, wamezidiwa tu uwezo na hawana namna.Azam Wanaruhusu mpira uchezwe zaidi kwenye half yao.
Sakhoo ni MchezajiHuyu Sakho leo🔥🔥🔥
Halafu eti kuna raia zilikuwa zinataka auzwe, yani mpaka huu msimu unaisha dogo atakuwa moto sana, apewe tu muda mwingi wa kucheza.Huyu Sakho leo[emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Sakho sijui kwanini Arsenal walizidiwa ujanja na Magori.
NakubaliHalafu eti kuna raia zilikuwa zinataka auzwe, yani mpaka huu msimu unaisha dogo atakuwa moto sana, apewe tu muda mwingi wa kucheza.
Kiungio Azam wamezidiwaSio kwamba wanapenda, wamezidiwa tu uwezo na hawana namna.
Kafunga ngapi mpaka sasaSakhoo ni Mchezaji
Alikua majeruhi ndo kaanza kazi.Kafunga ngapi mpaka sasa
Sawa Nyie Wa Penalty Za Football Tunawapata Vyema Hapa [emoji1787]Kuna Penati za Football na kuna Penati za GSM kama ile ya Yanga na Biashara
Domo zege uyo[emoji23][emoji23][emoji28]Hivi huyu kanoute ni Bibi? Kuna mtu aliwahi kumshuhudia anaongea kweli?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app