Wanajaribu kumpa promo lkn wapiStraika wa dunia hahahaha, anabutua tu hata aaangalii anapiga wap?
Punguza makasiriko mkuu [emoji23]Bora nikaangalie Kitimtim ila sio huu udwanzi
Huyu azamu tumempigia passi 73 kabla ya goli la 2 nenda youtube katazame huko leo wewe na mbereko juu unakosa tutaUle wa Jana na Dodoma jiji fc? Timu ambayo hata kitayose ya ligi daraja la pili wanajipigia wakitaka[emoji28]
Full time ball possession
yanga 82 Dodoma jiji fc 18[emoji28]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona Azam leo anakufa ni swala la muda tuHuyu azamu tumempigia passi 73 kabla ya goli la 2 nenda youtube katazame huko leo wewe na mbereko juu unakosa tuta
Unabwata tu tunaupiga mwingi, nenda kaone alicho fanywa na yanga
Wewe kombe la ngao ya jamii nimekukimbuza kama mtoto huyo Azam anayekutoa jasho Hadi mpira unaisha passi 896
Labda kwa penati ama red cardMkuu mbona Azam leo anakufa ni swala la muda tu
Yaani hii Simba pamoja na hii hali hawaonyeshi hata dalili ya usajili ?
Tulia weweMlevi kamwangukia mwenzake