Simba SC 2-1 Azam FC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Simba SC 2-1 Azam FC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Ahadi kwa dodoma jiji dhidi ya ssc.
1. Ushindi 15 ml
2. Droo 10 ml
3. Kumvunja mchezaji wa simba 5 ml.
Shida umeanza kushangilia juzi mpira kmc alipewa m20 na makonda (unajua alikuwa shabiki wa timu gani) waliofungwa yanga unajua ilikuwaje kaulize

Hadi leo haji manara anasema anajua figisu mlizotumia kuchukua ubingwa (achana na mbeleko za TFF, na viporo)
 
Hivi Morrison yupo wapi, mbona haonekani.
 
Hongera kwa kuliona hilo, yanga ni kisanga dhidi ya Dodoma Jiji, mbeya kwanza etc.
Hahahhahaha mi naona safari ya ubingwa ipo wazi zaidi kwa Yanga kuliko kwenu kumbuka bado mna mechi za kimataifa na kuna swala la majeruhi ohooo!! Na usisahau misimu miwili yote iliyopita hamjatufunga kwenye ligi.. Na hao kina Dodoma jiji na mbeya kwanza ndo walikua wanatutesa sasa kama tunawamudu it means ubingwa uleeeeee...
 
soka la kucheza kwako na kupoteza muda baada ya kuzidiwa eneo la kati ??
Hahahaha yanga apoteze muda hahahahaha walah umeamua kujifurahisha si wewe Hadi leo unashangilia draw ama
 
Hahahhahaha mi naona safari ya ubingwa ipo wazi zaidi kwa Yanga kuliko kwenu kumbuka bado mna mechi za kimataifa na kuna swala la majeruhi ohooo!! Na usisahau misimu miwili yote iliyopita hamjatufunga kwenye ligi.. Na hao kina Dodoma jiji na mbeya kwanza ndo walikua wanatutesa sasa kama tunawamudu it means ubingwa uleeeeee...
Hilo linawezekana pia, tusubiri muda uongee
 
Hahahaha yanga apoteze muda hahahahaha walah umeamua kujifurahisha si wewe Hadi leo unashangilia draw ama
Mbona kama una lazimisha kunilisha maneno, anaye shangilia sare ni nani ?, yani nishangilie sare dhidi ya timu ya mchangani ?
 
Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje

Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
Nawe ni shabiki wa mpira au wa yale mambo yenu ya akina Kabwili?
 
Back
Top Bottom