Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Wiki jana nilipata kusikia clip moja ya sheikh akisema kuwa e ushindi waliokuwa wanaupata simba ulisababishwa na mdomo wa haji manara

Yaani mdomo wa Manara ndio ulikuwa unamfanya konde boy apige ile mivyenga, yani mdomo wa manara ndio ulisababisha mpaka chama awe anapiga vile visigino vya kimaudhi

Kiukweli nilisikitika sana

Kwa maana hiyo angeendelea kuwepo hata hili goli la Kanoute pamoja na goli gumu la mugalu, kwa mujibu wa sheikh kongole zote zingeenda kwa Manara
 
Wanaangalia head to head na unayelingana nae point
 
Hapo kimahesabu tunaweza kuendelea kutoa timu nne wakati huo, timu za Cameroon zisifike mbali katika mashindano ya Africa,au za Sudan.
 
Eeh bhana utopolo wamelala na viatu, defense, offensive and attacking wings wameupiga mwingi. Gentamicine mwenye uwezo wa kitopolo kupanga kikosi cha Simba kacheze ndondo next level za football tuachie akina Gaucho ili uitwe Gaucho always ni next level.
 
Ingekuwa ni mayele kafunga goli gumu kama la kanoute angetumia muda mwingi ku celebrate kwa kutetema kiasi ambacho kingefanya muda usiwe wa kutosha kuweza kufunga matatu mengine...
Kutikisa maziwa kumemsaidia, huoni kaishatolewa KISHIKA UCHUMBA, unadhani zile ng'ombe ni za bure mzee mwenzangu!? [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…