Simba SC 4-1 Ruvu Shooting | NBC Premier League | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba itaachaje kushinda wakati leo ni siku yao ya KINA MAMA DUNIANI

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile appβ€Š
 
Game hii ilikua imebalance vizuri shida hapo kati kuna Ellysasii....anaonyesha wazi kabisa ameegemea upanda mmoja
Mchezaji wa ruvu amefanyiwa faul akienda kufunga si.ba wmechukua mpira kanyamaza tu..
 
67' Bwalya Goooooooooooooaaal gooal

Bwalya anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi murua kutoka kwa Sakho

Simba SC 2-0 Ruvu Shooting
 
John Bocco.

Tukibaki Naye Hana Faida, Tukiuza Hana Faida. Kwanini Hana Faida?

Ni mchezaji Wa Ndani, Hivyo Tukiuza Namba Yake itakuwa Replaced Na mchezaji Wa Ndani… Je Kuna Striker Mzawa Wa Kumfikia John Bocco? Hayupo Hivyo Tuuze Tusiuze Mambo Ni Yale Yale.

Lakini Kiukweli John Bocco Kachoka. Tuzoee Tuu wana Simba. Huenda Msimu ujao Akawa Vizuri
 
81' Bocco Goooooooooooooaaal gooal

John Bocco anaipatia Simba SC bao la tatu akipokea pasi murua kutoka kwa Mhilu

Simba SC 3-0 Ruvu Shooting
 
Mkubwa mkubwa tu..what a goal captain fantastic..Boccooo
 
Ramli chonganishi hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…