Simba SC acheni Kutuzuga kuhusu Kuumia kwa Kipa Mbrazili Jefferson Luis Mabingwa wa Uchunguzi tumegundua yafuatayo....

Simba SC acheni Kutuzuga kuhusu Kuumia kwa Kipa Mbrazili Jefferson Luis Mabingwa wa Uchunguzi tumegundua yafuatayo....

Huyu kipa Jefferson kwa taarifa yenu ni mzuri sana (huenda kuliko hata kipa yeyote hapa katika ligi ya Tanzania). Suala la kuumia au kanuni hilo silijui
 
#1. Mmesikia kuwa Klabu ya Yanga SC muda wowote jnaenda Kuishtaki TFF huko FIFA kwa Kumruhusu Mchezaji anayecheza Ligi Daraja la Nne kuja Kucheza Ligi Kuu ya NBC kinyume na Kanuni.

#2. Mchezaji Peter Banda kawashika pabaya Kimkataba na kakataa Kuondoka Simba SC na kwamba akiondoka Simba SC itamlipa Mamilioni hivyo mnataka Kumbakisha.

#3. Kocha Mkuu wa Simba SC Robertinho Olivieira hakumtaka Kipa huyu Fernandez bali alimtaka Yule Do Santos ambaye anacheza Daraja la Tatu au la Pili huko nchini Brazil ila Wazee wa 10% walilazimisha huyu Asajiliwe ili wapige Pesa ila baadhi ya Makocha wa Simba SC wamenuona hatoshei.

#4. Uongozi wa TFF baada ya Kunusa nia ya Yanga SC kuwashtaki FIFA kwa kwenda Kinyume na Kanuni za Ligi Kuu na Hadhi za Wachezaji haraka sana wakawawahi Simba SC na kuwaambia wafanye lolote ila Kipa huyu Mbrazili Jefferson Luis asicheze kwani akicheza Wao TFF watatiwa Hatiani na kuwa mbaya Kwao.

Naipenda mno na sana Simba SC yangu ila kuna nyakati huwa mnanikera na ndiyo huamua Kuwageukeni na kuwatoleeni Uvivu.

GENTAMYCINE nawauliza Viongozi wa Simba SC hivi kwanini mliruhusu Kipa ambaye naamini anamzidi hata Manula Kiuwezo Beno Kakolanya aondoke wakati Kipindi hiki ndiyo alikuwa anaenda kuwa mbadala mzuri wa Manula akisaidiana na Dogo Ali Salim?

Ninachojua GENTAMYCINE nj kwamba haumwi wala nini huyu Kipa wetu wa Michongo na Ujanja Ujanja ila mmemwambia ajipigishe Shoti / ajivunje kwa Kujifanya Kaumia na atakaa Nje kwa Miezi Minne kisha Idadi ya Wachezaji wa Kigeni ibakie ile ile 12 na sasa mtafute Kipa mwingine ama kutoka ndani ( Tanzania ) au Nje na akiwa wa Nje nimeambiwa mnataka Kuwaomba TFF na Serikali ( kupitia BMT ) waruhusu Vilabu vya Tanzania visajili Wachezaji wa Kigeni hata 15 ili kusudi hawa waliozidi waweze kuwa sehemu Salama.

Uongozi wa Simba SC mnakurupuka mno. Na hapa bila ya Unafiki au Unazi wangu Niwasifu sana Watani zangu Yanga SC kwani chini ya Rais wao Injinia Hersi Said wameshatoka Siku nyingi tu katika huu Uswahili, Ujinga, Uhuni na Utapeli ambao Simba SC tunao ( upo ) tena Ukiongozwa na Mwekezaji Wetu Mohammed Dewji ( Samjo Samjo yaani Muongo Muongo ) na 75% ya Watendaji wake wa Bodi ya Simba SC.

Hovyo kabisa...!!
Kwanza kabisa hata maandishi Yako yamejaa ushabiki tupu namaanisha kiutopolo topolo[emoji38]

Ila hilo la kukataliwa na kocha huoni kama umejitekenya mwenyewe na kujichekelea wakati anafika hapa mlisema (utopolo) kuwa amelewa na kocha kwa sababu ni ndugu yake leo una unasema amekataliwa na kocha sasa nani alimleta huyu kipa? (Utopolo mnijibu)

Na suala la Banda umeyaandika usiyoyajua haswaa kwahiyo baki kimya tu sio lazima uongee kila jambo hali yakuwa hufahamu chochote
 
Huyu kipa Jefferson kwa taarifa yenu ni mzuri sana (huenda kuliko hata kipa yeyote hapa katika ligi ya Tanzania). Suala la kuumia au kanuni hilo silijui
Uzuri wake uliwahi kumuona kwenye ligi ipi au mashindano yepi?

Sasa mjiandae na kuvunja mkataba wa Miquison, aliyewatapeli kumpa miaka mitatu kawaingiza cha kike.

Tusitetee ujinga kwa ajili ya ushabiki hii tabia ya ten percent haitakwisha.

Yule demu Barbara alishaonesha njia ya kukomesha hii tabia lakini akapigwa sana vita akaamuwa kuwaachia timu yenu.
 
Uzuri wake uliwahi kumuona kwenye ligi ipi au mashindano yepi?
Sasa mjiandae na kuvunja mkataba wa Miquison, aliyewatapeli kumpa miaka mitatu kawaingiza cha kike.
Tusitetee ujinga kwa ajili ya ushabiki hii tabia ya ten percent haitakwisha.
Yule demu Barbara alishaonesha njia ya kukomesha hii tabia lakini akapigwa sana vita akaamuwa kuwaachia timu yenu.
Kwani kipi kimeharibika, mbona watu mnatokwa na mapovu?
 
10% zimekuwa zikiharibu sana sajili za Simba na Yanga kwa karibu miaka yote...

Ndio maana unaweza pata mchezaji fulani katekwa juu kwa juu ma timu A airport wakati nia ya safari yake ilikuwa kwenda timu B...
 
Kumbe Banda kawashika pabaya sana, tumtafteni John noble pengine atapatikana.
 
#1. Mmesikia kuwa Klabu ya Yanga SC muda wowote jnaenda Kuishtaki TFF huko FIFA kwa Kumruhusu Mchezaji anayecheza Ligi Daraja la Nne kuja Kucheza Ligi Kuu ya NBC kinyume na Kanuni.

#2. Mchezaji Peter Banda kawashika pabaya Kimkataba na kakataa Kuondoka Simba SC na kwamba akiondoka Simba SC itamlipa Mamilioni hivyo mnataka Kumbakisha.

#3. Kocha Mkuu wa Simba SC Robertinho Olivieira hakumtaka Kipa huyu Fernandez bali alimtaka Yule Do Santos ambaye anacheza Daraja la Tatu au la Pili huko nchini Brazil ila Wazee wa 10% walilazimisha huyu Asajiliwe ili wapige Pesa ila baadhi ya Makocha wa Simba SC wamenuona hatoshei.

#4. Uongozi wa TFF baada ya Kunusa nia ya Yanga SC kuwashtaki FIFA kwa kwenda Kinyume na Kanuni za Ligi Kuu na Hadhi za Wachezaji haraka sana wakawawahi Simba SC na kuwaambia wafanye lolote ila Kipa huyu Mbrazili Jefferson Luis asicheze kwani akicheza Wao TFF watatiwa Hatiani na kuwa mbaya Kwao.

Naipenda mno na sana Simba SC yangu ila kuna nyakati huwa mnanikera na ndiyo huamua Kuwageukeni na kuwatoleeni Uvivu.

GENTAMYCINE nawauliza Viongozi wa Simba SC hivi kwanini mliruhusu Kipa ambaye naamini anamzidi hata Manula Kiuwezo Beno Kakolanya aondoke wakati Kipindi hiki ndiyo alikuwa anaenda kuwa mbadala mzuri wa Manula akisaidiana na Dogo Ali Salim?

Ninachojua GENTAMYCINE nj kwamba haumwi wala nini huyu Kipa wetu wa Michongo na Ujanja Ujanja ila mmemwambia ajipigishe Shoti / ajivunje kwa Kujifanya Kaumia na atakaa Nje kwa Miezi Minne kisha Idadi ya Wachezaji wa Kigeni ibakie ile ile 12 na sasa mtafute Kipa mwingine ama kutoka ndani ( Tanzania ) au Nje na akiwa wa Nje nimeambiwa mnataka Kuwaomba TFF na Serikali ( kupitia BMT ) waruhusu Vilabu vya Tanzania visajili Wachezaji wa Kigeni hata 15 ili kusudi hawa waliozidi waweze kuwa sehemu Salama.

Uongozi wa Simba SC mnakurupuka mno. Na hapa bila ya Unafiki au Unazi wangu Niwasifu sana Watani zangu Yanga SC kwani chini ya Rais wao Injinia Hersi Said wameshatoka Siku nyingi tu katika huu Uswahili, Ujinga, Uhuni na Utapeli ambao Simba SC tunao ( upo ) tena Ukiongozwa na Mwekezaji Wetu Mohammed Dewji ( Samjo Samjo yaani Muongo Muongo ) na 75% ya Watendaji wake wa Bodi ya Simba SC.

Hovyo kabisa...!!
Samjo Samjo😃
 
Nasikiaga GENTAMYCINE ni mwandishi wa habari. Mashaka yangu asije akawa ni Manara huyu!
Asee hata mimi kuna siku nilishawahi kuhisi. Ukisoma between the lines mabandiko ya Manara na huyu jamaa kuna vionjo flani hivi vinafanana, ni kama huku JF amejaribu kubadilisha uandishi ila DNA ya mabandiko haijabadilika.

Manara huyu jamaa
 
20230622_164806.jpg

Ndio naingia mda huu jf ila napita tu
 
Asee hata mimi kuna siku nilishawahi kuhisi. Ukisoma between the lines mabandiko ya Manara na huyu jamaa kuna vionjo flani hivi vinafanana, ni kama huku JF amejaribu kubadilisha uandishi ila DNA ya mabandiko haijabadilika.

Manara huyu jamaa
Ni watu tofauti hao. Huyo mmoja mara kwa mara anajinasibu na uenyeji wa mkoa wa MARA asili ikiwa ni Rwanda na upande wa mama Ungonini dini yenye makao makuu VATICAN.

Yule mwengine uenyeji ni UZARAMONI na dini mfanya twawafu AL KAABA.
 
TUWAPONGEZE WATANI ZETU BADALA YA KUWABEZA.
Ni klabu ya kwanza Tanzania kuweka historia ambayo itachukua miaka mingi kufikiwa au isifikiwe kabisa.
Kusajili mchezaji nje ya nchi na kuachana nae huko huko nje ya nchi sio jambo dogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
#1. Mmesikia kuwa Klabu ya Yanga SC muda wowote jnaenda Kuishtaki TFF huko FIFA kwa Kumruhusu Mchezaji anayecheza Ligi Daraja la Nne kuja Kucheza Ligi Kuu ya NBC kinyume na Kanuni.

#2. Mchezaji Peter Banda kawashika pabaya Kimkataba na kakataa Kuondoka Simba SC na kwamba akiondoka Simba SC itamlipa Mamilioni hivyo mnataka Kumbakisha.

#3. Kocha Mkuu wa Simba SC Robertinho Olivieira hakumtaka Kipa huyu Fernandez bali alimtaka Yule Do Santos ambaye anacheza Daraja la Tatu au la Pili huko nchini Brazil ila Wazee wa 10% walilazimisha huyu Asajiliwe ili wapige Pesa ila baadhi ya Makocha wa Simba SC wamenuona hatoshei.

#4. Uongozi wa TFF baada ya Kunusa nia ya Yanga SC kuwashtaki FIFA kwa kwenda Kinyume na Kanuni za Ligi Kuu na Hadhi za Wachezaji haraka sana wakawawahi Simba SC na kuwaambia wafanye lolote ila Kipa huyu Mbrazili Jefferson Luis asicheze kwani akicheza Wao TFF watatiwa Hatiani na kuwa mbaya Kwao.

Naipenda mno na sana Simba SC yangu ila kuna nyakati huwa mnanikera na ndiyo huamua Kuwageukeni na kuwatoleeni Uvivu.

GENTAMYCINE nawauliza Viongozi wa Simba SC hivi kwanini mliruhusu Kipa ambaye naamini anamzidi hata Manula Kiuwezo Beno Kakolanya aondoke wakati Kipindi hiki ndiyo alikuwa anaenda kuwa mbadala mzuri wa Manula akisaidiana na Dogo Ali Salim?

Ninachojua GENTAMYCINE nj kwamba haumwi wala nini huyu Kipa wetu wa Michongo na Ujanja Ujanja ila mmemwambia ajipigishe Shoti / ajivunje kwa Kujifanya Kaumia na atakaa Nje kwa Miezi Minne kisha Idadi ya Wachezaji wa Kigeni ibakie ile ile 12 na sasa mtafute Kipa mwingine ama kutoka ndani ( Tanzania ) au Nje na akiwa wa Nje nimeambiwa mnataka Kuwaomba TFF na Serikali ( kupitia BMT ) waruhusu Vilabu vya Tanzania visajili Wachezaji wa Kigeni hata 15 ili kusudi hawa waliozidi waweze kuwa sehemu Salama.

Uongozi wa Simba SC mnakurupuka mno. Na hapa bila ya Unafiki au Unazi wangu Niwasifu sana Watani zangu Yanga SC kwani chini ya Rais wao Injinia Hersi Said wameshatoka Siku nyingi tu katika huu Uswahili, Ujinga, Uhuni na Utapeli ambao Simba SC tunao ( upo ) tena Ukiongozwa na Mwekezaji Wetu Mohammed Dewji ( Samjo Samjo yaani Muongo Muongo ) na 75% ya Watendaji wake wa Bodi ya Simba SC.

Hovyo kabisa...!!
Tovovo hili
 
Back
Top Bottom