Simba SC haifiki Robo Fainali na leo inafungwa goli 2

Mlisema ivoivo kwa tp mzembe mpila ulivyoisha mkaleta sababu zingine
Njoo kwa mkapa uone soko Safi bila uchawi
Soko gani tena kwa Mkapa siku hizi. Goli 7 hufungwa na timu zilizojizoea kuweka rekodi. Hamtakuja kumfunga yoyote goli 7 kwenye michuano ya vilabu Afrika. Leo mnadroo.
 
Soko gani tena kwa Mkapa siku hizi. Goli 7 hufungwa na timu zilizojizoea kuweka rekodi. Hamtakuja kumfunga yoyote goli 7 kwenye michuano ya vilabu Afrika. Leo mnadroo.
GOLI 7 ndo unachukua ubingwa wew kolo una akiri kwer
Rekodi itakusaidia Nini
Mbona yanga tulimpiga zalan Gori nyingi Ila hatujisifii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…