Uingie nusu fainali, robo ama Makundi. Kama hujatwaa Ubingwa bado ni jitihada za Bure.Kwahiyo mara ya mwisho kuingia hatua ya makundi ya Caf ni 1998 [emoji28] .. anyway Simba aliwahi kufika semi final ya caf champions league na 1993 alifika fainali ya caf confederation .. ndani ya misimu minne ya hivi karibuni ameingia hatua ya makundi ya Caf champions league zaidi ya mara 3 na kutinga hatua ya robo fainali mara mbili back to back na msimu huu ametinga tena hatua na makundi kwenye confederation .. kwa takwimu hizi, yanga ni timu ya mchangani tu hamna influence yeyote [emoji23][emoji23]
😂😂1998 yanga ilikua timu ya kwanza kuingia hatua za makundi CAFCL na alifika mpaka robo(kumbuka hapa kwenye makundi timu zilikua 32 na sio 16 kama sasa)
2014/15, 2015/16, 2016/17
Yanga ndio timu ya kwanza kucheza mashindano mawili mfululizo katika miaka hiyo mitatu ilianzia katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa na iliposhindwa huko ilishushwa kushiriki mashindano ya kombe la Shirikisho.
Baada ya kushushwa katika hatua ya kombe la Shirikisho ilifanikiwa kuingia katika hatua ya makundi mara mbili msimu wa mwaka 2015/16 na msimu wa 2017/17.
Simba ndo mara yao ya kwanza kuingia hatua ya makundi ya shirikisho mwaka huu.
Kingine..?
Mpaka sasa Simba bado ana kuwakilisha kimataifa, ww upo wapi ??Simba amefanya nini huko?
Kwahiyo una kubali kwamba yanga ni timu kongwe lakini kwenye anga za kimataifa ni underdog [emoji23][emoji23]Uingie nusu fainali, robo ama Makundi. Kama hujatwaa Ubingwa bado ni jitihada za Bure.
Hivi mnashika nafasi ya ngapi vile kwa ubora barani africa ?. [emoji23][emoji23]Uingie nusu fainali, robo ama Makundi. Kama hujatwaa Ubingwa bado ni jitihada za Bure.
Simba nafasi ya 15 AfricaUkubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.
Mtani wangu kwa sasa ni Mazembe.kwa Africa ya kaskazini ni Al Ahly,mi nipo level za kimataifa uko.Jeuri kweli unayo maana ushawahi kumkimbia mtani wako mara mbili katika dabi,Ila uwezo ndo bado hauna.
na wakivyojipigia leo hii wakisikia hii watashangaa sana..Mtani wangu kwa sasa ni Mazembe.kwa Africa ya kaskazini ni Al Ahly,mi nipo level za kimataifa uko.
Mbona unatishia watu nyau..?
Nasikia mmesanda na mmekubali yaishe.
Nyinyi hamuwezi kusimamia shoo za kibabe. [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.
Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.
Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.
Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.
Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.
Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.
Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.
View attachment 2039318
Kapu la mjanja mjinga hatii mkono. Imeisha hiyoUkubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.
Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.
Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.
Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.
Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.
Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.
Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.
View attachment 2039318
Mabango yenu yameshatolewa sasa ukubwa wenu uko wapi?!!..Kushiriki ligi za ndani Tu for 4 bad years huu ndio ukubwa?Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.
Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.
Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.
Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.
Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.
Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.
Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.
View attachment 2039318