Simba SC hamna uwezo wa kugomea mechi kama Yanga SC tulivyofanya

Simba SC hamna uwezo wa kugomea mechi kama Yanga SC tulivyofanya

Tff kuna makandokando yake mengi tu Simba akiamua kumpakazia hii ligi ya madafu itachezwa viongozi wa tff wakiwa mikononi mwa takukuru.
Mbona unatishia watu nyau..?

Nasikia mmesanda na mmekubali yaishe.

Nyinyi hamuwezi kusimamia shoo za kibabe. 😁
 
Watafsir kanuni wenye diploma za online ndo waliwalaza na viatu kule cas kwa Bm3
Hakuna hata jaji mmoja kutoka Tanzania aliyesimamia kesi ya Bernad.

(Food for thought)
 
Sema nawalaumu tff kwa kinachoendelea. Nafikiri timu inapitumia uwanja wake wa nyumbani ina haki ya kutumia mabango gani kama matangazo.

Mfano epl, nike wanadhamini mpira, hublot ni saa/muda, budweiser ni official beer, panini yupo na wengi neo. Ila huwezi ona wote wana appear pale kwenye screen za uwanja wa mana city( Etihad)

Tff wakae na vilabu wavishirikishe kila hatua wanacho kifanya na vilabu vinanufaikq vipi.

Naomba tff na simba wakae wayamalize kesho tuone derby kidogo ili kelele za usimba nq yanga zikwishe
 
Swali mbona jepesi sana, mara ya mwisho mnaingia makundi caf champions league Ilikua ni mwaka gani ?? .. kipi kisicho eleweka hapo.
1998 yanga ilikua timu ya kwanza kuingia hatua za makundi CAFCL na alifika mpaka robo(kumbuka hapa kwenye makundi timu zilikua 32 na sio 16 kama sasa)

2014/15, 2015/16, 2016/17
Yanga ndio timu ya kwanza kucheza mashindano mawili mfululizo katika miaka hiyo mitatu ilianzia katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa na iliposhindwa huko ilishushwa kushiriki mashindano ya kombe la Shirikisho.
Baada ya kushushwa katika hatua ya kombe la Shirikisho ilifanikiwa kuingia katika hatua ya makundi mara mbili msimu wa mwaka 2015/16 na msimu wa 2017/17.

Simba ndo mara yao ya kwanza kuingia hatua ya makundi ya shirikisho mwaka huu.

Kingine..?
 
Kwahiyo mara ya mwisho kuingia hatua ya makundi ya Caf ni 1998 [emoji28] .. anyway Simba aliwahi kufika semi final ya caf champions league na 1993 alifika fainali ya caf confederation .. ndani ya misimu minne ya hivi karibuni ameingia hatua ya makundi ya Caf champions league zaidi ya mara 3 na kutinga hatua ya robo fainali mara mbili back to back na msimu huu ametinga tena hatua na makundi kwenye confederation .. kwa takwimu hizi, yanga ni timu ya mchangani tu hamna influence yeyote [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom