SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Zaidi ya yule jinga jinga Hamisi sidhani kama kuna mtu mwingine anayehoji mambo hayoIla wabongo kweli nyoso, saa hizi Yale makelele ya washabiki wa Simba hawamtaki Barbra na kocha yameisha kimyaaaaaaa. Hakuna Tena anayehoji bilioni 20 Wala mkataba wa vunja bei
Ama kweli kuwatawala watanzania Raha Sana.