Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
Tatizo umeamua kujiandikia tu, wachezaji wa kikosi cha kwanza watakaokosekana ni watatu tu, Aish Manula, Mo Hussein na Kapombe wengine wote wapo.Unaenda kucheza frendly games na wachezaji amaabo sio kikosi cha kwanza hii technically haina mashiko