Simba SC kucheza mechi 3 za Kimataifa za Kirafiki kujiandaa na michuano ya CAF na Ligi Kuu

Simba SC kucheza mechi 3 za Kimataifa za Kirafiki kujiandaa na michuano ya CAF na Ligi Kuu

Ila wabongo kweli nyoso, saa hizi Yale makelele ya washabiki wa Simba hawamtaki Barbra na kocha yameisha kimyaaaaaaa. Hakuna Tena anayehoji bilioni 20 Wala mkataba wa vunja bei

Ama kweli kuwatawala watanzania Raha Sana.
Ukiyakumbuka tu maneno ya Mwenyekiti wa zamani Ismail Aden Rage! Hata huumizi kichwa.
 
Ila wabongo kweli nyoso, saa hizi Yale makelele ya washabiki wa Simba hawamtaki Barbra na kocha yameisha kimyaaaaaaa. Hakuna Tena anayehoji bilioni 20 Wala mkataba wa vunja bei

Ama kweli kuwatawala watanzania Raha Sana.
Unatakiwa ujue walioanzisha hayo ni wakina nani? Simba ni dude kubwa sana, halitikisiki kirahisi, linatafuta kutua kimataifa. Na siku sio nyingi. Dude hili limefanya mpaka Yanga watumie nguvu kujipanga, lakini wana kiburi, wangekuwa wapole waulize huwa tunachukuaje point 9 kwa mkapa group stage.
Kwa kuwa huwa wanasema tunapuliza dawa, wakapulize na wao waone wanavyokula ban kimataifa.
 
Mbona hata mwaka jana mlicheza na akina Tp Mazembe! Hakuna jipya hapo. Timu nyingi tu za ndani, na hata nje nchi wanafanya hivyo.
Ndio jipya letu kujiandaa na msimu wa mpya wa CAF. Karibuni huko CAF mkianza kucheza na timu mnayofanana nayo kutoka Sudan ya kusini, ni aibu sana mkifungwa na wale jamaa
 
Ndio jipya letu kujiandaa na msimu wa mpya wa CAF. Karibuni huko CAF mkianza kucheza na timu mnayofanana nayo kutoka Sudan ya kusini, ni aibu sana mkifungwa na wale jamaa
Kwani na nyinyi si mnaanzia hatua hiyo hiyo! Na mpaka sasa mna uhakika wa asilimia ngapi ya kuwatoa Big Bullets ya Malawi?

Maana mpira unachezwa uwanjani. Na kama ungekuwa unachezwa mdomonu, basi mngewafunga Yanga kila mechi.
 
Ukiyakumbuka tu maneno ya Mwenyekiti wa zamani Ismail Aden Rage! Hata huumizi kichwa.
Halafu unalalamika kuwa kuna mashabiki wa Simba SC wanaongoza kwa kejeli..!

Kwahivyo kumbe hata Kocha Luc alivyosema mashabiki wa Yanga ni Manyani, Mbwa yanapenda kubweka anakuwa yupo sahihi..?!
 
Hili sio jipya,... Ishacheza pre season huko Egypt,.. Akaja bongo akala 2,.. Nyie jitekenye tu
 
Achana na Misri, Simba ilisha Kaa Brazil mwezi mzima Wakaja na mtindowao wa soka Diagonal Samba kufika anakutana na Yanga, Simba alitandikwa 2-0.
 
Halafu unalalamika kuwa kuna mashabiki wa Simba SC wanaongoza kwa kejeli..!

Kwahivyo kumbe hata Kocha Luc alivyosema mashabiki wa Yanga ni Manyani, Mbwa yanapenda kubweka anakuwa yupo sahihi..?!
Sasa ukilinganisha maneno ya huyo kocha na ya Mwenyekiti; hivi huoni utofauti! Ismail Aden Rage unawezaje kumfananisha na huyo Luc, au Haji Manara?

To me, Ismail Aden Rage is smarter compared to Haji Manara, or that good for nothing Luc nani sijui! Hivyo hawezi kusema kitu kwa kukurupuka. By the way, the word mbumbumbu siyo tusi! Ni mtu tu asiyefahamu kitu bila shaka.
 
Klabu ya Simba [emoji1241] Wekundu wa Msimbazi Wataalamu wa kusakata Kabumbu la viwango vya CAF, wanatarajiwa kusafiri kwenda kucheza mechi tatu za Kimataifa za Kirafiki dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana [emoji1110] Agosti 28, Al Hilal ya Sudan [emoji1232] Agosti 31, na mwisho dhidi ya AS Arta Solar ya Djibouti [emoji1089] September 3, mechi hizi ni katika kujiweka sawa kujiandaa na michuano ya CAF na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana

View attachment 2331664
Mungu ibariki SIMBA
 
Yanga hana anachofikria zaidi ya kumfunga Ze animal. Yy ligi yake ya mabingwa ni kumfunga simba akili za kitopolo kabisa hizi.
 
Unaenda kucheza frendly games na wachezaji amaabo sio kikosi cha kwanza hii technically haina mashiko
 
Acha upumbavu akili zako zimeishia jangwani kwwnye madimbwi
Mbona matusi tena!! Waungwana Wana shindana Kwa hoja kumtukana mtu usiye mfahamu unaweza kujipatia laana isiyo na Sababu.
Unaweza Kuta Mimi ni Baba yako, kuwa mwangalifu.
 
Ao ni wachezaji majeruhi na wa akiba, Hakuna Sinior player ambaye ni mzima utakuta anacheza mechi izo. Izo mechi za wachezaji waliokua wagonjwa wanatafutiwa utimamu na wale wa kikosi Cha pili kupata watakao panda sinior timu.
Wachezaji majeruhi wacheze?? Wewe ni malaya wa mpira, umeuvamia tu ndiomaana kuna muda unaandika points ambazo hata mwanamke asiyejua mpira hawezi kuziandika.

Hivi hata shule ulipita kweli?
 
Kama katika iyo mechi atakuwepo mchezaji yoyote wa kikosi Cha kwanza wa Barca au Man City atakaye cheza iyo mechi mniite nime Kaa pale.Poleni na umbumbumbu wenu wa soka.[emoji2][emoji2][emoji2]
Basi sawa, watacheza majeruhi kama ulivyosema.
 
Back
Top Bottom