Unadhani Alhaj Ismail Aden Rage alikurupuka ile kauli?Kuiga nini mechi za kirafiki Simba ndio kaanza kucheza hapa duniani? au kipya kipi hapo
Anawajua ndani nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Alhaj Ismail Aden Rage alikurupuka ile kauli?Kuiga nini mechi za kirafiki Simba ndio kaanza kucheza hapa duniani? au kipya kipi hapo
Unadhani Alhaj Ismail Aden Rage alikurupuka ile kauli?
Anawajua ndani nje.
Nauli wanayo?Uto wataiga na hii
Kwani unashwbikia liver au chellse mikataba unaijua hizo b 20 zikiekwa cc mashabiki tunapata nini chamuhimu chama lisonge mbeleIla wabongo kweli nyoso, saa hizi Yale makelele ya washabiki wa Simba hawamtaki Barbra na kocha yameisha kimyaaaaaaa. Hakuna Tena anayehoji bilioni 20 Wala mkataba wa vunja bei
Ama kweli kuwatawala watanzania Raha Sana.
imekaa vzr mnoKlabu ya Simba [emoji1241] Wekundu wa Msimbazi Wataalamu wa kusakata Kabumbu la viwango vya CAF, wanatarajiwa kusafiri kwenda kucheza mechi tatu za Kimataifa za Kirafiki dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana [emoji1110] Agosti 28, Al Hilal ya Sudan [emoji1232] Agosti 31, na mwisho dhidi ya AS Arta Solar ya Djibouti [emoji1089] September 3, mechi hizi ni katika kujiweka sawa kujiandaa na michuano ya CAF na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
View attachment 2331664
hahahaha.watanzania wepesi sana,katiba mpya inaweza kuwaokoaIla wabongo kweli nyoso, saa hizi Yale makelele ya washabiki wa Simba hawamtaki Barbra na kocha yameisha kimyaaaaaaa. Hakuna Tena anayehoji bilioni 20 Wala mkataba wa vunja bei
Ama kweli kuwatawala watanzania Raha Sana.
Akili za kimasikiniSisi yanga hatujaenda pre season tumemfunga na hatuchezi mechi za kirafiki tunamsubiri tena simba tumfunge hyo ndo furaha yetu huko kwingine hatuna shida napo alisikika utopolo mmoja.
Man city wapo jiji la Barcelona kucheza mechi ya kirafiki na ligi yao ishaanzaMimi ntakua mtu wa mwisho kuamini klabu kucheza mechi za kirafiki nje ya nchi wakati msimu wa mashindano umeanza.
Ata kama ni umbumbumbu sio wa level hii[emoji3][emoji3][emoji3]. Hakuna klabu yoyote duniani inaweza kuiga uo upuuzi.
Ao ni wachezaji majeruhi na wa akiba, Hakuna Sinior player ambaye ni mzima utakuta anacheza mechi izo. Izo mechi za wachezaji waliokua wagonjwa wanatafutiwa utimamu na wale wa kikosi Cha pili kupata watakao panda sinior timu.Man city wapo jiji la Barcelona kucheza mechi ya kirafiki na ligi yao ishaanza
Ao ni wachezaji majeruhi na wa akiba, Hakuna Sinior player ambaye ni mzima utakuta anacheza mechi izo. Izo mechi za wachezaji waliokua wagonjwa wanatafutiwa utimamu na wale wa kikosi Cha pili kupata watakao panda sinior timu.
Yaani majeruhi wanacheza duuh huyo jamaa ni kiboko aiseeWe jamaa una matatizo, umeona hata wachezaji walioenda au unajiongelea tu? Sasa majeruhi wanaanzaje kucheza? Hata kama ni kikosi cha pili kwani ni wachezaji wa Yanga au Man City? Watu huwa mnajifanya wajuaji ila hamna lolote.
unampigia mbuzi gitaa,huyo jamaa ni mbuziAngalia Fixture ya Man City halafu urudi na utumbo wako
mtani unaona tunavyojifua mpaka mechi za kimatifa naimani darby ijayo tutakua na kilasababu ya kulipiza.#GuvuMoya
Haya tumekubali Man City wanakwenda kucheza huku wakiwa na wachezaji majeruhi na wa akiba.. Sijui ilitokea wapi hiyo duniani [emoji16]Kama katika iyo mechi atakuwepo mchezaji yoyote wa kikosi Cha kwanza wa Barca au Man City atakaye cheza iyo mechi mniite nime Kaa pale.Poleni na umbumbumbu wenu wa soka.[emoji2][emoji2][emoji2]
Ukubwa haulazimishwi, narudia Tena na Tena.Na miaka onavyozidi kusogea kuna uwezekano wa Simba kutafuta mpinzani wake wa kimataifa yani mechi yenye kuvuta hisia za watu wengi
Halafu kuna vijitu mwakani vitaiga na kujisifu
Mbona hata mwaka jana mlicheza na akina Tp Mazembe! Hakuna jipya hapo. Timu nyingi tu za ndani, na hata nje nchi wanafanya hivyo.Uto wataiga na hii