Wanataka kufanana na utopolo wakiendelea hivo basi manyema ranger's
Mkuu, ile ni timu ya familia.. huwezi kuwapangia cha kufanya.Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Nimenyoosha mikono juu kwa kweli sijui hawa wajomba hawalipwi mshahara au wameamua kurelax? hata sijui shida nini `jesus christWamepigwa na kitu kizito kichwani..😂
Kulikuwa na ulazima wa kuanzisha thread badala ya hii kuwa comment kwenye thread ya mechi ya Simba?Nimenyoosha mikono juu kwa kweli sijui hawa wajomba hawalipwi mshahara au wameamua kurelax? hata sijui shida nini `jesus christ
"bora pesa zangu ningejengea ma godown"hivi wamechachawa kuondoka wachezaji wawili tu, hata sielewi shida nini, tumelogwa? au?
Hujaona mpira waliocheza? Mbona soka limepigwahivi wamechachawa kuondoka wachezaji wawili tu, hata sielewi shida nini, tumelogwa? au?
Quora huwezi Kuta post za Hivi Na hii ndo tofauti ya nyani Na binadamMoo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Tuwe na kiasi mpira ni burudani sio vita,mpira una kupanda na kushuka tumekuwa bora miaka minne mfululizo tukichukuwa ubingwa na kila kombe la ndani,elewa hatuwezi kuwa bora miaka yote tuvumilie muda mwingine ukiona panapovuja ndio unapoziba.Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli