Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Simba imepoteza uimara uwanjani kabisa.inacheza as if wanacheza ndondo hawana mipango hawana maamuzi.tulishazoea simba vs coastal ni mechi ya magoli mengi lakin leo hii coastal anamiliki mpira anafanya mashambulizi ya hatar kuliko simba.hii ni aibu huu mwaka.kama simba itashinda wanatakiwa kujitathmini kiwango chao mana ni kidogo sana.timu nyingi zitapata draw kwa simba kama sio ushindi kabisa.ni hayo tu i stand to be corrected.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app

Tena kwenye CAF Confederation Cup tunaeza pata aibu ya kutolewa kinomanoma

Tunahitaji bench la ufundi lenye weledi kuanzia kwenye mbinu za uwanjani mpaka excellence kwenye clean and top coaching certificates as per CAF and TFF rules and regulations
 
Tena kwenye CAF Confederation Cup tunaeza pata aibu ya kutolewa kinomanoma

Tunahitaji bench la ufundi lenye weledi kuanzia kwenye mbinu za uwanjani mpaka excellence kwenye clean and top coaching certificates as per CAF and TFF rules and regulations
Nimesikia wanataka kocha kutoka afrika yaani wanaongelea upuuzi ngoja waone hasira za mashabiki wa Simba pale timu itakapofanya vibaya.
 
Utulivu wa mchezaji ndio ubora wenyewe. Mchezaji unapata nafasi unabutua tu. Nafasi za kibu kwa mchezaji mtulivu kuna goli na assist.
Nashangaa kibu anasemwa eti yuko moto. Kibu ni mchezaji machachari sio hatari.

Hana control, hana utulivu ana tumia minguvu kuliko akili kiufupi sio mchezaji wa hadhi ya Simba.
 
Simba ya saiv
20211031_195542.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2225][emoji2225][emoji2225]
 
msenge matola umekaaa weeee kusubikria saa ngapi nitapost ili uvamie uzi angalia ujinga uliopost sasa? yaani uzi unaona wa kijinga halafu bado unahangaika nao, sasa sikia bwabwa matola Jamii forums ni users generated contents, kama una hisa kwenye huo uzi unaolazimisha nikachangie nenda kawaombe mabasha zako wanaofukunyua mtaro wako wachangie huko
Achana nae Matola ni takataka
 
Achana nae Matola ni takataka
Kuna majitu yanashangaza sana, ila nafikiri kwa kweli issue ya namba 10 sijui ifanywe nini? kibu inabidi atokee pembeni ila dah kuna time niliona Nyoni anamuelekeza kocha hivi hali imefikia hapo?
 
Timu ili ishinde inahitaji mbinu za kuweza kufunga magoli kwa timu yetu sasa haina msimamizi wa kuweza kusimmia nn afanye kulingana na mpinzani hilo ndio kwa sas tunakosa kwa hitimana amebeba mzigo ndio maana benchi lote kila mtu ana maamuzi
 
Tuwe na kiasi mpira ni burudani sio vita,mpira una kupanda na kushuka tumekuwa bora miaka minne mfululizo tukichukuwa ubingwa na kila kombe la ndani,elewa hatuwezi kuwa bora miaka yote tuvumilie muda mwingine ukiona panapovuja ndio unapoziba.
Mmekuwa bora mwaka 1 tu hii mi 3 ilikuwa kwa hisani ya viporo tu wala si kwa ubora
 
Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Huyu mdada mmegongwa cha pili kigumu. Bora mngechagua mnara
 
Shira ya simba ilianzia kuondoka kwa Senzo.....Senzo anajua sana Kuandaa mipango endelevu.....

Pili kuondoka kwa Sven [kishingo] alikuwa mtu Bora sana na nafikiri Chini ya sven ndi simba ilicheza moira mzuri sana...

Tatu kuondoka kwa Chama na Luis .....

poleni wazee....Sisi tumaomba hali izidi kuwa mbaya
 
Timu ili ishinde inahitaji mbinu za kuweza kufunga magoli kwa timu yetu sasa haina msimamizi wa kuweza kusimmia nn afanye kulingana na mpinzani hilo ndio kwa sas tunakosa kwa hitimana amebeba mzigo ndio maana benchi lote kila mtu ana maamuzi
Leo hitimana nmeona anashauriwa na wachezaji wa simba walio bench
 
Simba imepoteza uimara uwanjani kabisa.inacheza as if wanacheza ndondo hawana mipango hawana maamuzi.tulishazoea simba vs coastal ni mechi ya magoli mengi lakin leo hii coastal anamiliki mpira anafanya mashambulizi ya hatar kuliko simba.hii ni aibu huu mwaka.kama simba itashinda wanatakiwa kujitathmini kiwango chao mana ni kidogo sana.timu nyingi zitapata draw kwa simba kama sio ushindi kabisa.ni hayo tu i stand to be corrected.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Pale hamna kocha wazeee
 
Mwaka wenu huu mikia fc baada ya faraja ni dhiki
 
Simba mnataka mwendelee kuwa wafalme wa soka la tz milele? Alahrly imekubali kuwaachia wenzao ubingwa, nyinyi simba ni nani, msimu huu hatuko vzr tukubali, tukae chini, tujenge timu, next time tutatoboa, lawama na matusi kwa mwekezaji na CEO havisaidii.
 
Back
Top Bottom