Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Sawa,lakini bila ugomvi binafsi wa Mo ,Chama asingeondoka!
Chama hakuondoka chama ameuzwa wala hakuna ugomvi wowote kati yao mpira duniani uko hivyo chama hakuwa kila kitu Simba,mapungufu yanaonekana na timu itasukwa itarudi kwenye ubora
 
Simba inahitaji kocha pia wajengwe kipsychologia wajiamini km mwanzo. Ila kubwa kocha hamna mle
Hivi wamechachawa kuondoka wachezaji wawili tu, hata sielewi shida nini, tumelogwa? au?
 
Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
So far wewe umechangia sh. Ngapi kwny club mpk sa hivi!
 
Una vimelea vya udikteta
Upuuzi mtupu mnatujazia uchafu tu jukwaani.

We mechi inaendelea badala ya kucomment kwenye uzi wa mechi muda huohuo unaanzisha thread kama si ujinga ni nini?

Sielewi hata moderator wa jukwaa hili ni nani kwa kuacha kila uchafu uzagae tu.
 
Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Sanko , kanoute ni takataka
 
Ndio mjue hatukuwa na mwalimu, pre season ya kutosha alafu bado tunacheza kutegemea vipaji! Hata kupanga timu ni tatizo! Simba watafute mwalimu wa viwango ambaye anaweza kusoma wachezaji haraka na kujua namna ya kuwatumia.

Simba ina timu bora kuliko zote lakini makocha hawajui wafanye nini na zile talent.
Huu uongo
 
Mudy katupiga akasepa baada ya kuona hamna faida tukumbuke time ambazo mwamedi alizifanyia ujanja ujanja alivyoziacha. Mwamedi mjanja sana
 
Kunahaja ya Simba kujiandaa na msimu ujao. Tunaweza kubisha sana lakini huo ndio ukweli. Nashauri uongozi wa Simba kufanya yafuatayo.
1. Kutafuta kocha mwenye kiwango sio ilimradi kocha tu wakati mnamalengo ya kufika nusu final CAF champions league. Tuache ubahili
2. Dirisha dogo la usajili ndio liwe dirisha la usajili kwa ajili ya kuenda kutusaidia msimu ujao ili wapate muda mrefu wa kuzoeana coz mwisho wa msimu huwa tunasajili kwa mihemko.
3. Nikiri tu wachezaji wa kimaraifa tuliosajili ni wakawaida sana. Jmn mnauza wachezaji wa bilioni zaidi ya nne unarudi kuokoteza wachezaji wa million miatatu miatatu. Nendeni mkang'oe mchezaji mwenye akili kwenye timu kubwa angalao wawili tu kuliko kusaji wachezaji nane wote patupu.
4. Acheni kusajili wachezaji wapya wengi ndani ya dirisha Moja. Hebu tujiulize tulikua tunaisema Yanga sana kuwa inasajili wachezaji wengi ndani ya dirisha Moja lakini hebu tujiulize Simba imesajili wachezaji wangapi msimu huu? Sio chini ya wachezaji wapya 8. Nilitegemea replacement mbili ku cover nafasi ya Chama na Miquison na wengine wawili watatu kurekebisha kikosi lakini yaliyotokea hayatofautiani na mipango ya utopolo.
4. Achaneni na wahasishaji wa kijinga mliowapa nafasi. Mashabiki wa Simba walishahamasika kitambo sana. Matokeo ya uwanjani ndio hamasa ya washabiki. Kuweni professional kuakisi malengo ya kufika nusu final mnayoitaja taja midomoni mwenu.
 
Kunahaja ya Simba kujiandaa na msimu ujao. Tunaweza kubisha sana lakini huo ndio ukweli. Nashauri uongozi wa Simba kufanya yafuatayo.
1. Kutafuta kocha mwenye kiwango sio ilimradi kocha tu wakati mnamalengo ya kufika nusu final CAF champions league. Tuache ubahili
2. Dirisha dogo la usajili ndio liwe dirisha la usajili kwa ajili ya kuenda kutusaidia msimu ujao ili wapate muda mrefu wa kuzoeana coz mwisho wa msimu huwa tunasajili kwa mihemko.
3. Nikiri tu wachezaji wa kimaraifa tuliosajili ni wakawaida sana. Jmn mnauza wachezaji wa bilioni zaidi ya nne unarudi kuokoteza wachezaji wa million miatatu miatatu. Nendeni mkang'oe mchezaji mwenye akili kwenye timu kubwa angalao wawili tu kuliko kusaji wachezaji nane wote patupu.
4. Acheni kusajili wachezaji wapya wengi ndani ya dirisha Moja. Hebu tujiulize tulikua tunaisema Yanga sana kuwa inasajili wachezaji wengi ndani ya dirisha Moja lakini hebu tujiulize Simba imesajili wachezaji wangapi msimu huu? Sio chini ya wachezaji wapya 8. Nilitegemea replacement mbili ku cover nafasi ya Chama na Miquison na wengine wawili watatu kurekebisha kikosi lakini yaliyotokea hayatofautiani na mipango ya utopolo.
4. Achaneni na wahasishaji wa kijinga mliowapa nafasi. Mashabiki wa Simba walishahamasika kitambo sana. Matokeo ya uwanjani ndio hamasa ya washabiki. Kuweni professional kuakisi malengo ya kufika nusu final mnayoitaja taja midomoni mwenu.
Kikundi cha wahuni tu hicho hakina tofauti na panya Road.
 
Ndio mjue hatukuwa na mwalimu, pre season ya kutosha alafu bado tunacheza kutegemea vipaji! Hata kupanga timu ni tatizo! Simba watafute mwalimu wa viwango ambaye anaweza kusoma wachezaji haraka na kujua namna ya kuwatumia.

Simba ina timu bora kuliko zote lakini makocha hawajui wafanye nini na zile talent.
Hapo kwenye bora kuliko zote ndiko unawadanganya.
 
Back
Top Bottom