Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Simba SC, kwa mpira huu kazi ipo

Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Eti hawa ndio mashabiki wa mpira😂😂😂😂😂
 
Hivi wamechachawa kuondoka wachezaji wawili tu, hata sielewi shida nini, tumelogwa? au?
Msimu uliopita
Mechi nne pointi nne
Msimu huu
Mechi nne pointi nane

Tumeimarika sana ni wachezaji tu kukubali no chama no luis wacheze mpira
 
Kuna majitu yanashangaza sana, ila nafikiri kwa kweli issue ya namba 10 sijui ifanywe nini? kibu inabidi atokee pembeni ila dah kuna time niliona Nyoni anamuelekeza kocha hivi hali imefikia hapo?
Mm nimeiona Kuna rushwa katika upangaji kikosi yule Duncun nyoni ni mtu sana nungu nungu, hata Banda peter ni mtu ila apewe chance inaniuma sana kuuzwa Kwa chikwende kagere kabaki inaniuma sana nikifukira huwaga ninalia maana hata watoto wadogo wananicheka sana
 
Shira ya simba ilianzia kuondoka kwa Senzo.....Senzo anajua sana Kuandaa mipango endelevu.....

Pili kuondoka kwa Sven [kishingo] alikuwa mtu Bora sana na nafikiri Chini ya sven ndi simba ilicheza moira mzuri sana...

Tatu kuondoka kwa Chama na Luis .....

poleni wazee....Sisi tumaomba hali izidi kuwa mbaya
Hakika kaka ninaunga mkono 100% ila tu watu wanaochagua mbadala ndo wenye makosa inaniuma sana nikifukira huwaga nalia maana hata watoto wadogo wanatucheka sana
 
Chama hakuondoka chama ameuzwa wala hakuna ugomvi wowote kati yao mpira duniani uko hivyo chama hakuwa kila kitu Simba,mapungufu yanaonekana na timu itasukwa itarudi kwenye ubora
Brother hakika hujalaaniwa kama mashabiki wengine wa simba (Yeremia : 17: 5-7 Bwana asema amelaaniwa mtu yule ategemeae mwanadamu ) ila inaniuma sana nikifukiria huwaga nalia maana hata watoto wadogo wanatucheka sana
 
Kuondoka chama isiwe sababu ya kucheza vibaya maana huyo chama asingecheza milele pale simba

Tatzo viongozi ilibdi walete mtu atakayeziba pengo la wachezaji waliouzwa
mbona unarudi kule kule nilikoandika

umeuza chama, ukamleta nani wa kumreplace!

mchezaji wa kumreplace chama alitakiwa aletwe chama akiwepo.
 
Moo pumbav kabisa,anaanzisha ugomvi na wachezaji Kisha anawauza kwa hasira!
Na hicho kidemu chake ki CEO,kilikuwa Morocco kula bata eti ndio kimetuletea wachezaji wa hivi!!!!!!Shwain,inaniuma kweli
Huna nidhamu wewe. Duniani uliona wapi timu inayopata mafanikio kiuendelevu bila kutetereka? Lazima ujue kuna kupanda na kushuka.
Wakati ukiwa na mafanikio timu zinatumia muda kusoma mbinu zako, wakishafanikiwa ndio hapo unashuhudia mtetereko wa timu.
Hii ni kawaida katika soka. Acha matusi, unaowatukana si wajinga, watajipanga na kuja kivingine. Ukiona huwezi kuvumilia una machaguo mawili. La kwanza; saga chupa unywe. La pili, anzisha timu yako halafu usiuze wachezaji ili uwe na mafanikio unayoyaota.

Halafu acheni ujinga wa kulalamikia wacheza waliouzwa. Wewe ulitaka afanyeje? Akae nao mpaka wadode? Au akae nao kisha mikataba yao iishe halafu waondoke bure? Kama hujui kuwa soka ni biashara na inafanywaje acha kuwa shabiki, kalime matikiti huko.
 
Upuuzi mtupu mnatujazia uchafu tu jukwaani.

We mechi inaendelea badala ya kucomment kwenye uzi wa mechi muda huohuo unaanzisha thread kama si ujinga ni nini?

Sielewi hata moderator wa jukwaa hili ni nani kwa kuacha kila uchafu uzagae tu.
Mpuuuzi wewe
 
Huna nidhamu wewe. Duniani uliona wapi timu inayopata mafanikio kiuendelevu bila kutetereka? Lazima ujue kuna kupanda na kushuka.
Wakati ukiwa na mafanikio timu zinatumia muda kusoma mbinu zako, wakishafanikiwa ndio hapo unashuhudia mtetereko wa timu.
Hii ni kawaida katika soka. Acha matusi, unaowatukana si wajinga, watajipanga na kuja kivingine. Ukiona huwezi kuvumilia una machaguo mawili. La kwanza; saga chupa unywe. La pili, anzisha timu yako halafu usiuze wachezaji ili uwe na mafanikio unayoyaota.

Halafu acheni ujinga wa kulalamikia wacheza waliouzwa. Wewe ulitaka afanyeje? Akae nao mpaka wadode? Au akae nao kisha mikataba yao iishe halafu waondoke bure? Kama hujui kuwa soka ni biashara na inafanywaje acha kuwa shabiki, kalime matikiti huko.
Tuseme uko sahihi na hao unaowatetea wanawaza Kama wewe,Kwanini wamemfukuza kocha sasa?Mbuzi wa kafara kumbe wao ndio tatizo!
 
Tuseme uko sahihi na hao unaowatetea wanawaza Kama wewe,Kwanini wamemfukuza kocha sasa?Mbuzi wa kafara kumbe wao ndio tatizo!
Hapa sasa umejibu hoja kiukomavu na si kutukana. Hivi ndivyo tunatakiwa kuwa. Kuhusu hoja yako ni sawa kocha aweza kuwa ni mbuzi wa kafara. Lakini pia inawezekana wameona ndiye chanzo cha mtetereko. Kumbuka amepewa kila msaada ikiwemo kambi ya muda mrefu huko Moroco ili kujenga timu lakini akashindwa. Kuondoka kwa wachezaji wawili haiwezi kuwa kisingizio Kwake.
 
Hapa sasa umejibu hoja kiukomavu na si kutukana. Hivi ndivyo tunatakiwa kuwa. Kuhusu hoja yako ni sawa kocha aweza kuwa ni mbuzi wa kafara. Lakini pia inawezekana wameona ndiye chanzo cha mtetereko. Kumbuka amepewa kila msaada ikiwemo kambi ya muda mrefu huko Moroco ili kujenga timu lakini akashindwa. Kuondoka kwa wachezaji wawili haiwezi kuwa kisingizio Kwake.
Aaah wap,wanaondoka key players halafu unaletewa magalasa halafu alaumiwe kocha?Nani kachagua replacement ya hao wachezaji?
Lakini pia Mo hakwepi lawama,aache kuingilia maisha binàfsi ya wachezaji kisa tu yeye ndiye katoa pesa kuwasajili!Kuwapangia wachezaji watu wa kuwapenda Ni ujinga!
 
Back
Top Bottom