lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
Katika kitu ambacho sijaelewa hadi sasa hivi SSC inampango gani pale mbele Ina maana wameridhika na kina Bocco,Mugalu,Kagere na Mhilu??
Mimi nilitegemea mpaka sasa imesasajili mfungaji wa kimataifa pale mbele anayeendana na hadhi ya club.
Watasajili lini mshambukiaji hawa jamaa[emoji848][emoji848]
View attachment 2085176View attachment 2085177View attachment 2085178View attachment 2085179
Mimi nilitegemea mpaka sasa imesasajili mfungaji wa kimataifa pale mbele anayeendana na hadhi ya club.
Watasajili lini mshambukiaji hawa jamaa[emoji848][emoji848]
View attachment 2085176View attachment 2085177View attachment 2085178View attachment 2085179