Inasemekana yafuatayo yanaweza kutokea japo hayana uhakika wa 50%, 75% au 100% kabisa kuwa;
~ Mshambuliaji Ceaser Lobi Manzoki kutua Yanga SC na tayari Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said anamalizana naye.
~ Beki Henock Inonga kwenda Amazulu FC ya Afrika Kusini au kutua Yanga SC.
~ Clatous Chama kutua Yanga SC kwa usajili wa kukufuru ambao hajawahi kutokea nchini.
~ Mshambuliaji Ceaser Lobi Manzoki kutua Yanga SC na tayari Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said anamalizana naye.
~ Beki Henock Inonga kwenda Amazulu FC ya Afrika Kusini au kutua Yanga SC.
~ Clatous Chama kutua Yanga SC kwa usajili wa kukufuru ambao hajawahi kutokea nchini.