Ni shabiki wa Simba usishangae kukuta hilo..Sasa kama hayana uhakika kwanini unakurupuka?
Bora shule zifunguliwe maana mna utoto sana kichwani.Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Tatizo hawa ndugu zetu wanakula sana ngadaBora shule zifunguliwe maana mna utoto sana kichwani.
Yaan mtu aache hela kisa anapenda timu fulani?
Ronaldo alikataa ofa ya kwenda kujiunga na Club ya uarabuni huko ambayo ilikuwa ni billions of moneyBora shule zifunguliwe maana mna utoto sana kichwani.
Yaan mtu aache hela kisa anapenda timu fulani?
Ukija na hoja ntakuelewa ila hizi drama za upayukaji bila mpango zitafanya niendelee kuamini maneno ya aliyekuwa msemaji wenuTatizo hawa ndugu zetu wanakula sana ngada
Hii kusema hafurahii maisha ya China una ushahidi nalo? Amesema kuwa hafurahii? Au ni wewe tu hisia zako?Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Angeipenda Simba angeenda China?Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Bora shule zifunguliwe maana mna utoto sana kichwani.
Yaan mtu aache hela kisa anapenda timu fulani?
Ambacho kinafanya asiende ni kwakua anapandishiwa dau na mwajili wake wasasaFeisal anatakiwa na azam kwa mapesa mengi,unahisi ataenda azam??
Wewe umekaririshwa eti, Nani kakwambia mbele ya pesa unatanguliza mapenzi? Uyo Manzoki unaemsema anaipenda Simba tu alizaliwa nayo? Mnaokoteza habari za udaku uko mitaani na propaganda za mitandaoni mnaleta hapa jukwaani, Sasa akisajiliwa yanga utasemaje labda kwa mfano, Eti yanga walimfata akakataa yani mashabiki wa umbumbuni mnalishwa matango pori na nyie mnaingia mazima matokeo yake akisajiliwa yanga ndio wengine mnaanza maandamano kumtaka babra ajiuzulu akiwauliza ni nani aliwaambia wanamsajili manzoki mnaleta reference za mitandaoni🤣🤣Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Ngada sio nzuri mkuuWewe umekaririshwa eti, Nani kakwambia mbele ya pesa unatanguliza mapenzi? Uyo manzoki unaemsema anaipenda simba tu alizaliwa nayo? Mnaokoteza habari za udaku uko mitaani na propaganda za mitandaoni mnaleta hapa jukwaani, Sasa akisajiliwa yanga utasemaje labda kwa mfano, Eti yanga walimfata akakataa yani mashabiki wa umbumbuni mnalishwa matango pori na nyie mnaingia mazima matokeo yake akisajiliwa yanga ndio wengine mnaanza maandamano kumtaka babra ajiuzulu akiwauliza ni nani aliwaambia wanamsajili manzoki mnaleta reference za mitandaoni🤣🤣
Wewe umeshakula ngada, sio wewe hapoUkija na hoja ntakuelewa ila hizi drama za upayukaji bila mpango zitafanya niendelee kuamini maneno ya aliyekuwa msemaji wenu
Unafatilia mpira vizuri? Unafikiri mara zote pesa inakuwa na thamani kushinda mapenzi ya mtu dhidi ya kitu?
Wewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Wewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.
Kwa uchache tu Zamoyoni Mogela alikwenda Yanga, na Thomas Kipese alicheza Yanga, hawa wote ni Simba damu.
Ukiandika ushuzi huu siku nyingine kwa watu wenye akili utachekwa. mazoki na Simba au Yanga wapi na wapi, hao wanatafuta pesa tu.
Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani?.kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?
Nikajua mwanachamaNi shabiki wa Simba usishangae kukuta hilo..