Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

Katika hizo timu alizocheza alipata huo ufalme ambao saizi kila mtu anamzungumzia ubora wake?

Chama mwenyewe anaitaja Simba kama ni nyumbani ni sehemu iliyompatia mafanikio ya kisoka kuliko sehemu yeyote aliyowahi kupita

Hata wazazi wake wame admit kama ulifatilia mahojiano yao kile kipindi

Kuna vitu unashindwa kuvielewa halafu unavichanganya kwenye hoja

Sio kila mchezaji anakuwa na mapenzi na timu, wapo fakers ambao ni after money ambao wako tayari hata kufanya vibaya kwenye mechi endapo tu watahidiwa pesa

So usichukulie kila anayekuja kujiunga na Club yako ana mapenzi na Club yako

Tunasema mapenzi kama inatokea kuna Club nyingine imeonesha nia ya kumtaka halafu akaja kwenye Club licha ya kwamba pesa yako ni ndogo kuzidi ile timu nyingine iliyo mtaka.

Sasa ukimtaja Tuisila we unavyoona ana fit kwenye hoja gani hapo?

Na ndio nimekupa video ya Hassan Bumbuli uiangalie usikie alichokizungumza, halafu relate na hoja yangu utaona point nayoikusudia kwa Manzoki.
Unafahamu kilicho mrudisha kwao kipindi kile mpka viongozi wa Simba wakamfuata? ufalme una maana gani bila masilahi? anaipenda Simba sababu analipwa vizuri acheni kumpa hela uone moto wake
 
Unafahamu kilicho mrudisha kwao kipindi kile mpka viongozi wa Simba wakamfuata? ufalme una maana gani bila masilahi? anaipenda Simba sababu analipwa vizuri acheni kumpa hela uone moto wake
Kipindi kile ndio kipindi gani?

Ufalme ni namna anavyo kuwa treated kwa kupewa heshima kulingana na kile anacho offer uwanjani.

Analipwa vizuri hilo hatukatai, ila ukumbuke hata Hersi alivyomuhitaji angeweza kumlipa vizuri tena pengine zaidi maana alishaweka donge nono kumfanya akubali kujiunga na Yanga

Halafu mbona hugusii chochote kwenye yale maneno ya Hassani Bumbuli?

Hassani Bumbuli ame experience hiki kitu akiwa kiongozi mkubwa ndani ha Yanga na aliwahi kuwaambia ila kumbukumbu zenu ndio changamoto.
 
Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui

Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.

Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea kwa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.

Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.

Na sasa watu tunafatilia ligi ya China, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Acha kujidanganya, wachezaji hawana mapenzi ma timu, wanatafuta pesa
 
Kipindi kile ndio kipindi gani?

Ufalme ni namna anavyo kuwa treated kwa kupewa heshima kulingana na kile anacho offer uwanjani.

Analipwa vizuri hilo hatukatai, ila ukumbuke hata Hersi alivyomuhitaji angeweza kumlipa vizuri tena pengine zaidi maana alishaweka donge nono kumfanya akubali kujiunga na Yanga

Halafu mbona hugusii chochote kwenye yale maneno ya Hassani Bumbuli?

Hassani Bumbuli ame experience hiki kitu akiwa kiongozi mkubwa ndani ha Yanga na aliwahi kuwaambia ila kumbukumbu zenu ndio changamoto.
Mambo ya wasemaji unaweza yatumia kama reference? are you serious? Ahmed Ali alisema mnakwenda kuisimanisha dunia akatambulishwa Kyombo unataka nitumie kauli za watu wa aina hio?
 
Mambo ya wasemaji unaweza yatumia kama reference? are you serious? Ahmed Ali alisema mnakwenda kuisimanisha dunia akatambulishwa Kyombo unataka nitumie kauli za watu wa aina hio?
Kuwa msemaji haimaanishi kuwa kila utachokiongea ni mzaha

Kama unafikiria kauli ya Hassani Bumbuli kuhusu Ibrahimu Ajibu ni ya uzushi unakosea. Kwasababu kwa nafasi aliyonayo Bumbuli ukizingatia na uzito wa maneno huoni kwamba Ajibu angeweza kumshtaki?

Mfano Mwakalebela aliwahi kufanya uzushi kwenye ishu ya Chama kama utani lakini hilo jambo lilikuja kumgeukia vibaya mpaka akaja kuomba radhi

Halikumjia vibaya kwasababu eti Chama amem report kwenye mamlaka za kimichezo, hapa ni wadau tu wamichezo wanaofatilia michezo kwa kuzingatia sheria ndio waliomwambia Mwakalebela umetoka nje ya mstari omba radhi kabla ya kamati ya maadili haijakutia hatiani.

Lakini ukiachana na Bumbuli kumbuka hata Zahera amewahi kusema kitu kama hicho hicho na video iko hapo juu nimekuwekea

Sasa ina maana na Zahera naye ni muongo?

Sasa niambie ulitegemea hii taarifa tuipate kupitia nani?
 
Kuwa msemaji haimaanishi kuwa kila utachokiongea ni mzaha

Kama unafikiria kauli ya Hassani Bumbuli kuhusu Ibrahimu Ajibu ni ya uzushi unakosea. Kwasababu kwa nafasi aliyonayo Bumbuli ukizingatia na uzito wa maneno huoni kwamba Ajibu angeweza kumshtaki?

Mfano Mwakalebela aliwahi kufanya uzushi kwenye ishu ya Chama kama utani lakini hilo jambo lilikuja kumgeukia vibaya mpaka akaja kuomba radhi

Halikumjia vibaya kwasababu eti Chama amem report kwenye mamlaka za kimichezo, hapa ni wadau tu wamichezo wanaofatilia michezo kwa kuzingatia sheria ndio waliomwambia Mwakalebela umetoka nje ya mstari omba radhi kabla ya kamati ya maadili haijakutia hatiani.

Lakini ukiachana na Bumbuli kumbuka hata Zahera amewahi kusema kitu kama hicho hicho na video iko hapo juu nimekuwekea

Sasa ina maana na Zahera naye ni muongo?

Sasa niambie ulitegemea hii taarifa tuipate kupitia nani?
Naomba tufunge huu mjadala ukinipa sababu za Ajabu kwenda Yanga na Ngasa, Lunyamila kwenda Simba
 
Naomba tufunge huu mjadala ukinipa sababu za Ajabu kwenda Yanga na Ngasa, Lunyamila kwenda Simba
Nilisema mchezaji anaweza kuondoka kwenye Club yake anayoipenda kama ikatokea Club hiyo haina mpango wa kuenelea kuwa naye. Chini hapo nitakuwekea video uone jinsi gani Manzoki alikuwa tayari kuja Simba ila Management ya Vipers ndio ili fucked up mchongo

Halafu pia nishakuambia kuna fakers na pretenders

Kazi inabakiwa kuwa kwako sasa kujua yupi ni real yupi miyeyusho

Msikilize Juma Ayo hapa halafu niambie katika hao nani anaweza fikia viwango hivi

 
Nmekuelewa vizuri sana Ngasa ni mtanzania amekulia hapa anaweza kua na mapenzi na club za hapa lakini pia ujinga wa wachezaji wetu lakini leo huwezi niambia Manzoki mkongo anaipenda Simba! Kwa lipi hasa? Messi pamoja na kuipenda Barcelona yupo zake PSG anavuta hela ije kua Manzoki? Simba imemfanyia nini hasa mpaka aipende?
Time will tell
 
Kuna kijamaa hapo juu kinekaza shingo. Hakuna mchezaji mwenye mapenzi na timu. Awe wa ndani au wa nje. Na wao wakiuizwa hua wanakubali live.
 
Chama kwenda Morroco haikuwa willing yake ni Simba wenyewe ndio walio muuza

Na ndio maana alipokuwa kule hakuwa na furaha na ndio sababu kina Hersi kutumia nafasi hiyo kumshawishi aje Yanga
Kwa heshima na taadhima. Mimi naamua nikuache kama ulivyo na kile alichojaza akilini mwako.

Heshima kwa Rage[emoji3581]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mnaosema Ngada mnawavutisha au ndo bendera fata upepo na kukosa hoja? Mtu mwenye akili akija na hoja ya ngada namuona kama hana akili..ni kama mimi nianze kusema kwenye kila comment 😀 😀 mmejinyea kisa tu mliambiwa mmejinyea chupi zimejaa mavi wakati ni maneno tuu yalitamkwa..
 
Nyie mnaosema Ngada mnawavutisha au ndo bendera fata upepo na kukosa hoja? Mtu mwenye akili akija na hoja ya ngada namuona kama hana akili..ni kama mimi nianze kusema kwenye kila comment [emoji3] [emoji3] mmejinyea kisa tu mliambiwa mmejinyea chupi zimejaa mavi wakati ni maneno tuu yalitamkwa..
Ndugu zako hao wanapenda matusi, ushabiki wa kijinga
 
Kwa heshima na taadhima. Mimi naamua nikuache kama ulivyo na kile alichojaza akilini mwako.

Heshima kwa Rage[emoji3581]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kuniacha nataka nijue kama zile video mbili zinazozungumzia swala Ajibu kuacha pesa Yanga kwenda Simba kwa mapenzi kama umeziona

Kuna moja amesema Zahera ambaye kwa wakati huo ndio alikuwa kocha mkuu wa Yanga

Kuna nyingine amesema Hassani Bumbuli ambaye alikuwa ni Afisa Habari wa Yanga kipindi hicho

Niliku tag hapo ila sina hakika kama umeziona maana tunajua changamoto ya hii forum husuani kwenye app huwenda hukupata notification

Sio lazima nipate mrejesho kama umekubaliana nayo au la ila walau nijue tu kama umeiangalia basi
 
Watu sijui ndio kusema mabando yamekuwa ya mashaka au wanajitia upofu kujifanya hizi video hawazioni???

 
Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui

Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.

Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea kwa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.

Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.

Na sasa watu tunafatilia ligi ya China, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Kama anaipenda Simba kwanini hakusajili na akaenda kusajili sehemu nyingine,,mkiitwa mbumbumbu muwe waelewa watu wanaangalia hela we unasema mapenzi ..
 
Back
Top Bottom