Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

Simba SC kwanini mnazubaa na kuwa wazembe hivi?

Wewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.

Kwa uchache tu Zamoyoni Mogela alikwenda Yanga, na Thomas Kipese alicheza Yanga, hawa wote ni Simba damu.

Ukiandika ushuzi huu siku nyingine kwa watu wenye akili utachekwa. mazoki na Simba au Yanga wapi na wapi, hao wanatafuta pesa tu.

Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani? Kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?
Namuongezea Aishi Manula ni mpenzi wa Yanga kwao wote ni utopolo ila anacheza simba
 
Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui

Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.

Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea kwa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.

Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.

Na sasa watu tunafatilia ligi ya China, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Hersay
 
Ninachofurahi kwasasa nimeshajua uwezo wa akili yako, Yani wewe ni hopeless kabisa aisee[emoji1]
Kuna watu hua wanamuaminia kinoma eti anajua football ila ukiangalia mashudu anayoshusha unabaki unacheka tu
 
Ninachofurahi kwasasa nimeshajua uwezo wa akili yako, Yani wewe ni hopeless kabisa aisee[emoji1]
Baada ya kuishiwa hoja ya kutetea madai yako, ushageuka mpiga ramli sasa.

Nyie si mlikuwa mnapiga kelele humu kuwa haiwezekani mchezaji kuacha hela kwenda timu nyingine kwasababu ya mapenzi?

Nimekuwekea link ya video ya aliyekuwa afisa habari wenu akithibitisha kuwa mapenzi ya mchezaji yalifanya asiione thamani ya pesa aliyoahidiwa kupewa. Sasa umeishiwa hoja za kujibu umeanza na personal attacks & abuse
 
Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui

Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.

Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea kwa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.

Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.

Na sasa watu tunafatilia ligi ya China, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.

Ahsante kwa taarifa
 
Kuna watu hua wanamuaminia kinoma eti anajua football ila ukiangalia mashudu anayoshusha unabaki unacheka tu
Sikumbuki kama kuna siku nishawahi set mialiko kuwapanga watu time waje wanisifie. Hili la kusema kuna watu wananisifia ndio kwanza nalisikia kwako na kama ni kweli watu hao wapo basi hiyo kwangu ni zaidi ya recognition na nawashukuru kwa hilo.

Prolly I always been telling the truth you don't want to hear

Mmeshindwa kupangua hoja mnakuja na personal attacks

Mpaka saizi hakuna aliyeweza ku refute hoja yangu ambayo iko supported na ushahidi niliouweka kupitia zile video mbili
 
Baada ya kuishiwa hoja ya kutetea madai yako, ushageuka mpiga ramli sasa.

Nyie si mlikuwa mnapiga kelele humu kuwa haiwezekani mchezaji kuacha hela kwenda timu nyingine kwasababu ya mapenzi?

Nimekuwekea link ya video ya aliyekuwa afisa habari wenu akithibitisha kuwa mapenzi ya mchezaji yalifanya asiione thamani ya pesa aliyoahidiwa kupewa. Sasa umeishiwa hoja za kujibu umeanza na personal attacks & abuse
Hivi upo sawa kweli wewe
Nimekuuliza kilichomfanya Ibrahim 2017 atoke Simba kuja Yanga ni Nini? Na kwanini alirud tena simba baada ya mkataba wake kuisha?
Kama kweli alikuwa ana mapenz na hiyo timu yake kilichompeleka Yanga kipindi kile ni nini??

Ivi unafikiri kwanini Kibadeni(MwanaSimba kindaki kindaki) pamoja kuwa na kiwango bora hakuweza kuchezea Yanga kipindi kile

Alafu unaniletea Video ya Bumbuli hapa[emoji1] yani tayar unasahau kama huyo mchezaji alishakuonesha kwa vitendo kuwa sehemu yenye mpunga mzur yeye anafanya kazi.
 
Hivi upo sawa kweli wewe
Nimekuuliza kilichomfanya Ibrahim 2017 atoke Simba kuja Yanga ni Nini? Na kwanini alirud tena simba baada ya mkataba wake kuisha?
Kama kweli alikuwa ana mapenz na hiyo timu yake kilichompeleka Yanga kipindi kile ni nini??

Ivi unafikiri kwanini Kibadeni(MwanaSimba kindaki kindaki) pamoja kuwa na kiwango bora hakuweza kuchezea Yanga kipindi kile

Alafu unaniletea Video ya Bumbuli hapa[emoji1] yani tayar unasahau kama huyo mchezaji alishakuonesha kwa vitendo kuwa sehemu yenye mpunga mzur yeye anafanya kazi.
Hoja zako za kuniita hopeless ndio hizi au kuna zingine?

Nishakuambia kuwa mchezaji mwenye mapenzi na Club anaweza kwenda popote hata asipopapenda ikiwa tu Club yake anayoipenda ikaamua kuachana naye.

Nikakupa na mfano kuwa hata katika lile sakata la Chama kutolewa udende na Uto lingewezekana kuwa kinyume endapo Simba wasingeeonesha nia ya kumtaka.

Kama ambavyo Ajibu alivyotemwa na Simba msimu uliopita, means hakuwa na option nyingine zaidi.

Sasa tofautisha mchezaji kuja Klabuni kwasababu hana option na mchezaji kuwaniwa na timu mbili halafu kati ya hizo timu kuna timu anayoipenda.

Unakataa ushahidi wa video kutoka kwa mtu wa ndani kabisa wa Club?

Unanipa mashaka kama unaishirikisha vizuri akili yako kufanya reasoning. Nimekuwekea video mbili hapo, ya kwanza ni Mwinyi Zahera akizungumzia Ajibu kukataa dili nono alilowekewa na Tp Mazembe halafu saizi unasema kuwa Ajibu alienda Simba kwa kufata mtonyo mrefu aliowekewa mezani.

Hivi unaelewa hata mkataba aliopewa ajibu kuja Simba ilikuwa ni shingapi na dau alilolikacha Tp Mazembe ilikuwa ni shingapi?

Au unaandika tu ilimradi?

Haya tuje kwenye ishu ya bumbuli, kwani kwenye hiyo video bumbuli ajaelezea sababu za Ajibu kwenda Simba?

Wapi kasema kuwa ameenda Simba kwasababu ya offer ya pesa nyingi?

Umeangalia video yenyewe kwanza au tatizo ni bando la mashaka?

Kwa hiyo Hassani Bumbuli kadanganya na Mwinyi Zahera naye kadanganya pia si ndio unachotaka kumaanisha hapa?

Ulitaka upate ushahidi kutoka chanzo gani kingine ikiwa Afisa Habari wa ndani ya Club amesema hivyo na bado humuamini?

Chanzo gani, au Dauda Tv?
 
Kwa Africa wavhezaji ni wengi sana wa sifa tofauti, hakuna haja ya kugombea wachezaji ikiwa mmoja kati ya Hawa watani ana uhitaji na aina ya wachezaji kama Hawa na akawakosa hakuna haja ya kupagawa watumie mawakala au kampuni kubwa za Africa kusini zinazokusanya takwimu za wachezaji na kuainisha mapungufu yao watafanikiwa
 
Sikumbuki kama kuna siku nishawahi set mialiko kuwapanga watu time waje wanisifie. Hili la kusema kuna watu wananisifia ndio kwanza nalisikia kwako na kama ni kweli watu hao wapo basi hiyo kwangu ni zaidi ya recognition na nawashukuru kwa hilo.

Prolly I always been telling the truth you don't want to hear

Mmeshindwa kupangua hoja mnakuja na personal attacks

Mpaka saizi hakuna aliyeweza ku refute hoja yangu ambayo iko supported na ushahidi niliouweka kupitia zile video mbili
Personal attack ipo wapi kama hoja yako ni kwamba Manzoki anaipenda Simba kuliko pesa tutajadiri nini?
 
Hoja zako za kuniita hopeless ndio hizi au kuna zingine?

Nishakuambia kuwa mchezaji mwenye mapenzi na Club anaweza kwenda popote hata asipopapenda ikiwa tu Club yake anayoipenda ikaamua kuachana naye.

Nikakupa na mfano kuwa hata katika lile sakata la Chama kutolewa udende na Uto lingewezekana kuwa kinyume endapo Simba wasingeeonesha nia ya kumtaka.

Kama ambavyo Ajibu alivyotemwa na Simba msimu uliopita, means hakuwa na option nyingine zaidi.

Sasa tofautisha mchezaji kuja Klabuni kwasababu hana option na mchezaji kuwaniwa na timu mbili halafu kati ya hizo timu kuna timu anayoipenda.

Unakataa ushahidi wa video kutoka kwa mtu wa ndani kabisa wa Club?

Unanipa mashaka kama unaishirikisha vizuri akili yako kufanya reasoning. Nimekuwekea video mbili hapo, ya kwanza ni Mwinyi Zahera akizungumzia Ajibu kukataa dili nono alilowekewa na Tp Mazembe halafu saizi unasema kuwa Ajibu alienda Simba kwa kufata mtonyo mrefu aliowekewa mezani.

Hivi unaelewa hata mkataba aliopewa ajibu kuja Simba ilikuwa ni shingapi na dau alilolikacha Tp Mazembe ilikuwa ni shingapi?

Au unaandika tu ilimradi?

Haya tuje kwenye ishu ya bumbuli, kwani kwenye hiyo video bumbuli ajaelezea sababu za Ajibu kwenda Simba?

Wapi kasema kuwa ameenda Simba kwasababu ya offer ya pesa nyingi?

Umeangalia video yenyewe kwanza au tatizo ni bando la mashaka?

Kwa hiyo Hassani Bumbuli kadanganya na Mwinyi Zahera naye kadanganya pia si ndio unachotaka kumaanisha hapa?

Ulitaka upate ushahidi kutoka chanzo gani kingine ikiwa Afisa Habari wa ndani ya Club amesema hivyo na bado humuamini?

Chanzo gani, au Dauda Tv?
Chama angekua anaipenda Simba angeenda Morocco?
 
Chama angekua anaipenda Simba angeenda Morocco?
Chama kwenda Morroco haikuwa willing yake ni Simba wenyewe ndio walio muuza

Na ndio maana alipokuwa kule hakuwa na furaha na ndio sababu kina Hersi kutumia nafasi hiyo kumshawishi aje Yanga
 
Chama kwenda Morroco haikuwa willing yake ni Simba wenyewe ndio walio muuza

Na ndio maana alipokuwa kule hakuwa na furaha na ndio sababu kina Hersi kutumia nafasi hiyo kumshawishi aje Yanga
Hizi habari uwe unawaambia watoto wenzako huko, hivi (1)Chama mpka umri huo kacheza timu ngapi ije ang'ang'anie Simba? mfano Yanga tujidanganye eti Tuisila karudi sababu anaipenda Yanga ?
(2)
hivi mchezaji anauzwa kama mbuzi hana maamuzi ? nikisema hauna unalo lijua unasema personal attack
 
Hizi habari uwe unawaambia watoto wenzako huko, hivi (1)Chama mpka umri huo kacheza timu ngapi ije ang'ang'anie Simba? mfano Yanga tujidanganye eti Tuisila karudi sababu anaipenda Yanga ?
(2)
hivi mchezaji anauzwa kama mbuzi hana maamuzi ? nikisema hauna unalo lijua unasema personal attack
Katika hizo timu alizocheza alipata huo ufalme ambao saizi kila mtu anamzungumzia ubora wake?

Chama mwenyewe anaitaja Simba kama ni nyumbani ni sehemu iliyompatia mafanikio ya kisoka kuliko sehemu yeyote aliyowahi kupita

Hata wazazi wake wame admit kama ulifatilia mahojiano yao kile kipindi

Kuna vitu unashindwa kuvielewa halafu unavichanganya kwenye hoja

Sio kila mchezaji anakuwa na mapenzi na timu, wapo fakers ambao ni after money ambao wako tayari hata kufanya vibaya kwenye mechi endapo tu watahidiwa pesa

So usichukulie kila anayekuja kujiunga na Club yako ana mapenzi na Club yako

Tunasema mapenzi kama inatokea kuna Club nyingine imeonesha nia ya kumtaka halafu akaja kwenye Club licha ya kwamba pesa yako ni ndogo kuzidi ile timu nyingine iliyo mtaka.

Sasa ukimtaja Tuisila we unavyoona ana fit kwenye hoja gani hapo?

Na ndio nimekupa video ya Hassan Bumbuli uiangalie usikie alichokizungumza, halafu relate na hoja yangu utaona point nayoikusudia kwa Manzoki.
 
Back
Top Bottom