NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #61
Bora ya huyo aliyewekwa benchi lakini siyo baleke hata kwenye Kodi hayupo.Usimfananishe ronaldnho na uchafu kama huo umewauma kiaz wenu kuwekwa bench
Ndo mjue Kia ajui kitu
@NALIA NGWENA we jamaa unachofikiria ww ndio unataka kiwe hicho hicho ni sahihi.Wewe mane kawafumba pale katumia akili kubwa sana
Kuhusu promo simba inajulikana toka huko nyuma na ahitegemei promo ya mkata mauno Kama wewe unavyofikiri kichwani mwako.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huna hoja za kuutetea uzi wakoBaleke aligusa au hajagusa na inonga aligusa au hajagusa
Ukinijibu hayo maswali ndyo nitaendelea kuzungumza na wew.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hujui mpira wewe, tunawategemea full backs Kapombe na Zimbwe na timu ya taifa hawapo, Suala la kuchagua wachezaji ni la Kocha sio Wapiga domo mitandaoni kama Wewe humu JFBora ya huyo aliyewekwa benchi lakini siyo baleke hata kwenye Kodi hayupo.
Na ndyo mchezaji mnayemtegemea
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nipe hoja yako niikubali ambayo siyo ya uduwanzi.@NALIA NGWENA we jamaa unachofikiria ww ndio unataka kiwe hicho hicho ni sahihi.
Jaribu kukubali mitazamo ya watu wengine acha uduwanzi
Sasa ana tofaut gan na walio kaa bench..Baleke aligusa au hajagusa na inonga aligusa au hajagusa
Ukinijibu hayo maswali ndyo nitaendelea kuzungumza na wew.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kweli wewe ni mbumbumbu mgumu sana kuelewa aisee.Sasa ana tofaut gan na walio kaa bench..
Yan DK 7 zote unarukaruka upewi pasi
Au walimfanyia ujuma wakongo wenzake
Itoshe kusema
Wee unaejua Mpira alafu upo JF humu ndo mbumbumbuu..ungekuwa ata kwenye bench la ufundi la utopolo kdg unge make sense lkn ww ni mpiga kelele tu kama wengne tu..Kweli wewe ni mbumbumbu mgumu sana kuelewa aisee.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Relax mzee usipanikiWee unaejua Mpira alafu upo JF humu ndo mbumbumbuu..ungekuwa ata kwenye bench la ufundi la utopolo kdg unge make sense lkn ww ni mpiga kelele tu kama wengne tu..
Unajua nini kuhusu initiation kwa wachezaji wanaoingia team ya taifa kwa mara ya kwanza au wachezaji wapya kwenye team??? Punguza ushamba.Hayo ni maneno aliyoyapost sadio mane, aliambatanisha na clip fupi iliyokuwa ikimuonyesha mchezaji wa simba Pape osumane sakho akikata mauno mbele ya wanaume wenzie.
NALIA NGWENA THE GREAT THINKER, nimeyatafakari kwa undani kabisa maneno ya fundi wa kandada mane.
Kiukweli mane aliwatag simba nakuwaambia " “Simba SC look at your player become a dancer.”
Kwa upande wa mbumbumbu fc wameona Kama ni heshima kubwa sana na kawaheshimisha kumbe mane katumia akili kubwa sana nakuwaambia kuwa "humu hakuna mchezaji Bali Kuna mkata viuno"
Hakika mane katumia fumbo kubwa sana kuwafumba mbumbumbu fc,
Kutokana na uelewa mdogo kutoka kwa mashabiki wa makolo wanaona kuwa sadio mane kawaheshimisha.
Senegal Ina professional players wengi sana na kocha kamuita sakho kwenda kugain experience na hicho ndicho sadio mane alitegemea hicho bwana mdogo kujifunza kwa mapro,
Lakini kilichotokea kwa bwana mdogo ni kukata mauno mithir ya yondo sister
NALIA NGWENA, nimefumbua fumbo alilofumba makolo fc kwa kitendo alichokionyesha sakho mbele ya mapro.
Hoja yako ipo wapi sasa, mbona umeandika kishabiki sana.Unajua nini kuhusu initiation kwa wachezaji wanaoingia team ya taifa kwa mara ya kwanza au wachezaji wapya kwenye team??? Punguza ushamba.
Sawa kwa hicho unachokizungumza lakini kumbuka timu za taifa zina ushindani wa namba.Wakati huo huo wachezaji wafuatao tegemeo wa Yanga na Simba hawakupewa namba katika timu zao:
Diarra
Aziz Ki
Musonda
Inonga
Sakho
Chama
Huku mfungaji tegemeo wa Yanga Fiston Mayele akiingizwa dakika za lala salama.
Badala ya kubezana na kukejeliana kwa mambo ya kijinga, tujiulize kwa nini hawa wachezaji wetu tegemeo, wakienda katika timu zao za taifa hawapewi kipaumbele? Labda kuna mambo ya kurekebisha katika branding ya ligi yetu.
Tuishi humo.
Una uhakika kuwa simba wamemkuza sakho??Simba wamemchukua Sakho akiwa kinda kabisa, wamemkuza hadi kuchaguliwa katika kikosi #1 Africa huku akiwa mchezaji pekee wa kutoka ligi za Africa. Embu tuishi kwenye uhalisia huo.
Huna hoja kiuno fc, ni Bora ukapumnzika tu.Wee unaejua Mpira alafu upo JF humu ndo mbumbumbuu..ungekuwa ata kwenye bench la ufundi la utopolo kdg unge make sense lkn ww ni mpiga kelele tu kama wengne tu..
Huna hoja kiuno fc, ni Bora ukapumnzika tu.Wee unaejua Mpira alafu upo JF humu ndo mbumbumbuu..ungekuwa ata kwenye bench la ufundi la utopolo kdg unge make sense lkn ww ni mpiga kelele tu kama wengne tu..
Kwani Sakho alikuja Simba akiwa tayari timu ya taifa? Haihitaji akili kubwa kugundua kuwa Simba imekuza profile yake.Una uhakika kuwa simba wamemkuza sakho??
Unajua maana ya kumkuza mchezaji??
Tazama kwa yanga na Clement mzinze hiyo ndiyo maana ya kukuza mchezaji siyo kwa sakho na simba.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Profile gani imekuza mzee, basi Kama imekuza profile lake kwa Nini aliachwa kombe la duniaKwani Sakho alikuja Simba akiwa tayari timu ya taifa? Haihitaji akili kubwa kugundua kuwa Simba imekuza profile yake.
Unaangalia alipoachwa tu hauangalii alipoitwaProfile gani imekuza mzee, basi Kama imekuza profile lake kwa Nini aliachwa kombe la dunia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app