Simba SC mmetumia vigezo gani kumchagua Kinana kuwa Mgeni Rasmi?

Simba SC mmetumia vigezo gani kumchagua Kinana kuwa Mgeni Rasmi?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Siku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.

Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?

NB:
Maendeleo hayana chama.

Cc; Erythrocyte

82CC4DB0-6343-4924-B67E-9690B2283E94.jpeg
 
Siku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.

Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?

NB:
Maendeleo hayana chama.

Cc; Erythrocyte

View attachment 2190514
Siendi uwanjani, sitaki kuchangamana na maccm
 
Siku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.

Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?

NB:
Maendeleo hayana chama.

Cc; Erythrocyte

View attachment 2190514
Hapa club yangu pendwa imezingua lakini ngoja mchezo upite kwanza
 
Back
Top Bottom