Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
KwendraaaaMmeshajitia mikosi tayari,na mimi kama mwanasimba kindakindaki nasema hivi Leo tufungwe 3-0.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwendraaaaMmeshajitia mikosi tayari,na mimi kama mwanasimba kindakindaki nasema hivi Leo tufungwe 3-0.
Hawafungwi lohHovyo kabisa, na wafungwe
Utaishia kupiga miayo na dua lako la kukuMtashinda njaa
Aagh wapiii..!! Uzalendo wa hivi siwezi... Mkishinda mna makelele sana nyie makoloOna wenzako hapa! Wewe ni makinikia [emoji23]View attachment 2190812
😄😄 Wapiiii?Kwendraaaa
Mbona sio nuksi?Nuksi tyr
Kajifiche uvunguni.😄😄 Wapiiii?
Kamanda usilie sana.Daaah..
ila simba mmetukosea sana..
Kwa mlichofanya lazima mpoteze mechi..
Muda mwingine acheni kujipendekeza kwa wanasiasa..hao binadam hawafai nuksi
Imekula kwao.Ikifika saa 3 usiku wa leo mtaanza kusema matokeo yamesababishwa na mgeni rasmi
Na nani?Simba inahujumiwa
Utasubiri sana.Tusubiri saa 3 usiku wa leo
Namalizia kunya nikajifiche.Kajifiche uvunguni.
USHINDI NI LAZIMAKwani katiba inasemaje ya ccm ?