OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
JK ni rais mstaafu sio mbaya kualikwa,ila Kinana sioSi ndiyo hawa walituponda wiki chache zilizopita atulipo mualika JK kwenye ile mechi yetu na KMC! Na wenyewe leo wanarudia yale yale!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK ni rais mstaafu sio mbaya kualikwa,ila Kinana sioSi ndiyo hawa walituponda wiki chache zilizopita atulipo mualika JK kwenye ile mechi yetu na KMC! Na wenyewe leo wanarudia yale yale!
Mmeshajitia tayari let's wait and seeWakuu hili tutalijadili baadae, huu ni muda kuzungumzia mechi na amsha amsha
😀😀😀😀 Yaani Yanga na Simba wa awamu hii ni kiboko.Siku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.
Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?
NB:
Maendeleo hayana chama.
Cc; Erythrocyte
View attachment 2190514
Tusubiri saa 3 usiku wa leoShindwaaa
zimeshika kasi sana mitandaoni nadhani wanasiasa nao wanapambana kuzitumia😀😀😀😀 Yaani Yanga na Simba wa awamu hii ni kiboko.
Bora hata mgeni rasmi ungekuwa wewezimeshika kasi sana mitandaoni nadhani wanasiasa nao wanapambana kuzitumia
Na ndio maana hua sielewi hivi kweli kabisa wakina MO/GSM na pesa zao zote na connection zao wanashindwa kabisa kujua kabisa Kwamba hakuna hata siku 1 watakuja kuzimiliki hizo timu ziwe zao binafsi.?CCM haiwezi kuruhusu Jambo Hilo asilani.Simba na Yanga kuzitenganisha na siasa uchwara ni ngumu sana.
Matimu yenyewe yalianzishwa kisiasa.
Hyu ni wazir wa nchi sio wachamaWaziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia Nape Nnauye alikuwa mgeni Rasmi kwenye mchezo wa Simba SC Vs USGN
Mbona hakuwepo mjadala huu? au yeye hana Chama? Sidhani kama haya mambo ya tija yoyote zaidi ya kupoteza muda tu.
Mtashinda njaaNimeona tutashinda 2
Mmesahau match ya Yanga na KMC?Wakuu hili tutalijadili baadae, huu ni muda kuzungumzia mechi na amsha amsha
Ni mtazamo sahihi sana[emoji1545]Mambo ya rohoni yana nguvu kuliko sayansi na jitihada binafsi.
Ya duniani hayawezi kwenda bila kuwiana ulimwengu wa roho.
Ni mtazamo tu
Mmesahau ule mjadala na makasiriko mliyoyaleta humu kwenye match ya Yanga vs KMC kuhusu Mama kuwa Mgeni rasmi?Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia Nape Nnauye alikuwa mgeni Rasmi kwenye mchezo wa Simba SC Vs USGN
Mbona hakuwepo mjadala huu? au yeye hana Chama? Sidhani kama haya mambo ya tija yoyote zaidi ya kupoteza muda tu.
Ona wenzako hapa! Wewe ni makinikia [emoji23]Tusubiri saa 3 usiku wa leo