OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hilo halina ubishiIla kiukweli wamezingua lakini hili tuliweke pending kwanza sio muda wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo halina ubishiIla kiukweli wamezingua lakini hili tuliweke pending kwanza sio muda wake
Mungu ni mwema hatupotezi.. Nobody is perfect!Daaah..
ila simba mmetukosea sana..
Kwa mlichofanya lazima mpoteze mechi..
Muda mwingine acheni kujipendekeza kwa wanasiasa..hao binadam hawafai nuksi
Kwani amealikwa kuwa mgeni rasmi kama makamu mwenyekiti wa CCM au kama KINANA?Siku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.
Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?
NB:
Maendeleo hayana chama.
Cc; Erythrocyte
View attachment 2190514
Tutatoboa Inshallah kosa moja halifukuzi mkeWabongo tunapenda sana kujipendekeza/kujikombakomba.!
Simba hatoboi leo, washatutia nuksi
Ikifika saa 3 usiku wa leo mtaanza kusema matokeo yamesababishwa na mgeni rasmiDaaah..
ila simba mmetukosea sana..
Kwa mlichofanya lazima mpoteze mechi..
Muda mwingine acheni kujipendekeza kwa wanasiasa..hao binadam hawafai nuksi
Hapana bado sanaKwisha habari
Kidumu chama dume AfrikaSiku zote tunasema michezo ni lazima ijitenge na siasa watu hawasikiii.
Sasa niwaulize wana simba ni kigezo gani mmekitumia kumchagua Kinana ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti wa CCM kuwa mgeni rasmi?
NB:
Maendeleo hayana chama.
Cc; Erythrocyte
View attachment 2190514
[emoji23][emoji23][emoji23]Kinana alihusika kupindua meza JPM akapeta 2015...
Hivyo hata leo Kinana kaalikwa kupindua meza...
Inategemea ukubwa wa kosa Mshana Jr ... We mtu kukokosakosa na shoka utaendelea kukaa naye?Tutatoboa Inshallah kosa moja halifukuzi mke
HahahahaEmbu waza tu leo uwanjani yupo Kinana, Nape na January Makamba, yaani hao jamaa wanaweza kuchakachua mpaka VAR.
Hahahaha[emoji23]Nasikia Orlando Pirates huwa wanajiita Tembo wa Soweto sasa mgeni na nanihii...anyway tuachane na hayo[emoji205]
NopeHalafu mkishinda pongezi zitaenda kwa mama na Chama Cha mapinduzi[emoji23][emoji23]
Embu waza tu leo uwanjani yupo Kinana, Nape na January Makamba, yaani hao jamaa wanaweza kuchakachua mpaka VAR.
We ukae nyumbani au uje uwanjani kipigo kipo palepaleSiendi uwanjani, sitaki kuchangamana na maccm
Nasikia Orlando Pirates huwa wanajiita Tembo wa Soweto sasa mgeni na nanihii...anyway tuachane na hayo🐒
Sawa, HAKUNA KITAKACHOHALALISHA KUKOSWAKOSWA NA SHOKA... Yaani hakuna kosa nitakalolifanya, limpe mke uhalali wa kuniuwa.. NO WAY, hata nitafari vipi..!! Labda na mimi niwe nimemkosakosa kumuua kwa kudhamiriaLazima kwanza utafakari kilichopelekea kufanya hivyo
Umesahau herufi w hapo katikati ya d na a ya mwishoNimeona tutashinda 2