NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ukitoa mafanikio ya kufungua wasap channels, Manzoki kuja kwenye uchaguzi, KIbu denis kuikanda Yanga Sc mara mbili mfululizo pamoja na kuishia Robo klabu bingwa Afica kama ilivyozoeleka Simba sc wametwaa kombe linguine la Muungano kwa kuichapa Azam Fc goli moja kwa nunge goli lilio fungwa na kiungo mkabaji kutoka mataifa ya juu Babacasar.
Hivi sasa Simba Sc ina makombe matatu ndani ya kabati Kombe la MASHABIKI kutoka kwenye michuano ya AFL, kombe la NGAO YA JAMII na MUUNGANO, kiufupi Simba sc imebeba TREBLE
Hii ni timu ya kuigwa na timu ya mfano katika ligi yetu hiii ya NBCPL , na bado ina ndonto za kufukuzia ubingwa wa ligi za ndani.
MAONI YANGU ; uwekezaji bora katika timu,uongozi bora na utekerezaji thabiti ndiyo ngao kubwa iliyowafanya simba sc kupata TREBLE hakika timu zinapaswa kuiga mfumo huu kutoka katika timu ya simba sc
Hivi sasa Simba Sc ina makombe matatu ndani ya kabati Kombe la MASHABIKI kutoka kwenye michuano ya AFL, kombe la NGAO YA JAMII na MUUNGANO, kiufupi Simba sc imebeba TREBLE
Hii ni timu ya kuigwa na timu ya mfano katika ligi yetu hiii ya NBCPL , na bado ina ndonto za kufukuzia ubingwa wa ligi za ndani.
MAONI YANGU ; uwekezaji bora katika timu,uongozi bora na utekerezaji thabiti ndiyo ngao kubwa iliyowafanya simba sc kupata TREBLE hakika timu zinapaswa kuiga mfumo huu kutoka katika timu ya simba sc