Simba sc mpaka sasa ina vikombe vitatu ndani ya kabati, hakika hii ni timu ya mfano na timu ya kuigwa katika ligi ya Nbcpl

Simba sc mpaka sasa ina vikombe vitatu ndani ya kabati, hakika hii ni timu ya mfano na timu ya kuigwa katika ligi ya Nbcpl

Ukitoa mafanikio ya kufungua wasap channels, Manzoki kuja kwenye uchaguzi, KIbu denis kuikanda Yanga Sc mara mbili mfululizo pamoja na kuishia Robo klabu bingwa Afica kama ilivyozoeleka Simba sc wametwaa kombe linguine la Muungano kwa kuichapa Azam Fc goli moja kwa nunge goli lilio fungwa na kiungo mkabaji kutoka mataifa ya juu Babacasar.

Hivi sasa Simba Sc ina makombe matatu ndani ya kabati Kombe la MASHABIKI kutoka kwenye michuano ya AFL, kombe la NGAO YA JAMII na MUUNGANO, kiufupi Simba sc imebeba TREBLE
Hii ni timu ya kuigwa na timu ya mfano katika ligi yetu hiii ya NBCPL , na bado ina ndonto za kufukuzia ubingwa wa ligi za ndani.

MAONI YANGU ; uwekezaji bora katika timu,uongozi bora na utekerezaji thabiti ndiyo ngao kubwa iliyowafanya simba sc kupata TREBLE hakika timu zinapaswa kuiga mfumo huu kutoka katika timu ya simba sc
Makombe yanajulikana bwana mbona unayakosea adabu? Makombe ni NBC premier league na CRDB confederation cup usiweke mabonanza ya hisani kwenye mtiririko wa makombe kwa maana ata michuano ya kugombea mbuzi nayo Yana kombe!!!
 
Huo ndo ukweli yani nyie mambo ya Simba mmeyavalia njuga kuliko wenye Simba yao..mara Mo aondoke kwani Mo anawahusu??
HUTAKI TUTOE MAONI TUNAPOONA TIMU YETU INATUMBUKIA KWENYE SHIMO
 
Makombe yanajulikana bwana mbona unayakosea adabu? Makombe ni NBC premier league na CRDB confederation cup usiweke mabonanza ya hisani kwenye mtiririko wa makombe kwa maana ata michuano ya kugombea mbuzi nayo Yana kombe!!!
SASA SISI MAKOLO TUPO TUNASHANGILIA TREBLE MKUU SASA ITAKUAJE
 
Simba number one trending on social media...
 
Back
Top Bottom