Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,774
Ubuntu BothoHuo ndo ukweli wivu husda roho mbaya na mitima nyongo itawaua...sisi hizo za Mo sio shida zetu naona nyie ndo anawakera...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubuntu BothoHuo ndo ukweli wivu husda roho mbaya na mitima nyongo itawaua...sisi hizo za Mo sio shida zetu naona nyie ndo anawakera...
Makombe yanajulikana bwana mbona unayakosea adabu? Makombe ni NBC premier league na CRDB confederation cup usiweke mabonanza ya hisani kwenye mtiririko wa makombe kwa maana ata michuano ya kugombea mbuzi nayo Yana kombe!!!Ukitoa mafanikio ya kufungua wasap channels, Manzoki kuja kwenye uchaguzi, KIbu denis kuikanda Yanga Sc mara mbili mfululizo pamoja na kuishia Robo klabu bingwa Afica kama ilivyozoeleka Simba sc wametwaa kombe linguine la Muungano kwa kuichapa Azam Fc goli moja kwa nunge goli lilio fungwa na kiungo mkabaji kutoka mataifa ya juu Babacasar.
Hivi sasa Simba Sc ina makombe matatu ndani ya kabati Kombe la MASHABIKI kutoka kwenye michuano ya AFL, kombe la NGAO YA JAMII na MUUNGANO, kiufupi Simba sc imebeba TREBLE
Hii ni timu ya kuigwa na timu ya mfano katika ligi yetu hiii ya NBCPL , na bado ina ndonto za kufukuzia ubingwa wa ligi za ndani.
MAONI YANGU ; uwekezaji bora katika timu,uongozi bora na utekerezaji thabiti ndiyo ngao kubwa iliyowafanya simba sc kupata TREBLE hakika timu zinapaswa kuiga mfumo huu kutoka katika timu ya simba sc
HUTAKI TUTOE MAONI TUNAPOONA TIMU YETU INATUMBUKIA KWENYE SHIMOHuo ndo ukweli yani nyie mambo ya Simba mmeyavalia njuga kuliko wenye Simba yao..mara Mo aondoke kwani Mo anawahusu??
SASA SISI MAKOLO TUPO TUNASHANGILIA TREBLE MKUU SASA ITAKUAJEMakombe yanajulikana bwana mbona unayakosea adabu? Makombe ni NBC premier league na CRDB confederation cup usiweke mabonanza ya hisani kwenye mtiririko wa makombe kwa maana ata michuano ya kugombea mbuzi nayo Yana kombe!!!
Hakika na iwe hivi sis mambumbumbu mioyo yetu kwatu kabisa..Mooo aendeleee mafanikio tunayaona
asante sana mkuu kwa kunikumbusha hakika ubarikiweOngezea na kibegi.