Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia.
Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga.
Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Kelele nyingi kwenye mauzo sasa ni aibu na hii ndio maana harisi ya utopolo wenye jenzi mbovu unao wasema kwenye mauzo wanatishaYaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia.
Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga.
Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Ni nani amewaambua kuwa simba wameuza jezi 42,000 ndani ya saa 8?Kelele nyingi kwenye mauzo sasa ni aibu na hii ndio maana harisi ya utopolo wenye jenzi mbovu unao wasema kwenye mauzo wanatisha
View attachment 1924652
Ko unabisha kuhusu hili ivi watu wanaweza kuropoka bei na TRA wakae kmy ? Jesi za simba zinasepa kinoma za uto zimedoda japo ni ukweli mchungu inabdi umeze ivo ivoNi nani amewaambua kuwa simba wameuza jezi 42,000 ndani ya saa 8?
Fred au Kamwaga?
Sisi tunaenda na uharisia ni mwendo wa kukupiga na kitu kizito kichwan unatengeneza jezi elfu70 huo si uoga leta mzigo wa kutosha kama unajiamini sio uleta mzigo mdogo then unasikilizia upepo GSM ni hamna kitu kama wamekutumaPovu la nini? Huoni jua lilivyo kali muda huu?
Hakuna swali ulilo uliza hapo we izo taarifa umezipata wapi?Jibu swali.
Mpira umewashinda mumehamia kwenye vivazi sasa,hakika nyie ni nyani wa pori la Utopolo kama alivyosema Luc.
Huna macho hata ya kujua utofauti hapo yaani hiyo moja zig zag zake zipo muelekeo wa kulia nyingine zig zag zake zipo kuelekea kushoto. Hivi.nyie watu hamna macho ya kuchambua mambo. Kazi nzuri sana hii huu uzi wa mnyama ni balaa mautopolo mnajitekenya tu bure.
Hawawez wakakubali nani.avae mikusanyiko ya wafu. Nina wadogo.zangu ni yanga kinoma wamasema hawatanunua hizo jezi za uto maana hazijawafurahishaKo unabisha kuhusu hili ivi watu wanaweza kuropoka bei na TRA wakae kmy ? Jesi za simba zinasepa kinoma za uto zimedoda japo ni ukweli mchungu inabdi umeze ivo ivo
[emoji1787][emoji1787]Mpira umewashinda mumehamia kwenye vivazi sasa,hakika nyie ni nyani wa pori la Utopolo kama alivyosema Luc.View attachment 1924758
Dah! Hadi raha. Yaani Mwananchi mmoja tu, halafu anapambana mbumbumbu kama 20 hivi!!Jibu swali.