Simba SC msishindane na Yanga SC mnapoteza concetration kwenye Ubunifu

Simba SC msishindane na Yanga SC mnapoteza concetration kwenye Ubunifu

Babra huyo kwenye space kule twitter ndio kawapiga kamba hiyo [emoji23]
Mlivyo misukule hata hamjui kuwa biashara ya jezi ni ya Fred, auze asiuze Simba hela yake iko pale pale,nyie GSM akiuza Tsh. 35,000/- mnaambulia 1,300/- kweli mazombie nyie
FB_IMG_1630654057699.jpg
 
Majezi yana mirangi rangi kama kachumbari kwenye bakuli

Makorokoro fc
 
Huo ndiyo ujinga unaowapofusha macho sasa hivi kwenye CAF ratings hata Namungo wako juu wewe unaleta mambo ya 47 leo hii?
CAF ratings ni za kipumbavu.

Timu kubwa zinamalengo makubwa, sijawahi sikia Arsenal(na undezi wao waote ule) wanataka kushiriki UEFA CL ili wapande kwenye ratings za UEFA..?

Mentality ya kipuuzi kabisa.
 
CAF ratings ni za kipumbavu.

Timu kubwa zinamalengo makubwa, sijawahi sikia Arsenal(na undezi wao waote ule) wanataka kushiriki UEFA CL ili wapande kwenye ratings za UEFA..?

Mentality ya kipuuzi kabisa.
Misukule bwana![emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!!mshafeli kaeni hvyo hvyo kama hakuna maana basi msishiriki hata kucheza!mmefeli mbayaa!
Utopolo bwana!mpk Aibu aseehh!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
CAF ratings ni za kipumbavu.

Timu kubwa zinamalengo makubwa, sijawahi sikia Arsenal(na undezi wao waote ule) wanataka kushiriki UEFA CL ili wapande kwenye ratings za UEFA..?

Mentality ya kipuuzi kabisa.
Kufanya trial match na Pan African ndiyo malengo makubwa kuelekea CAF CL ? Aliyeawaroga Utopolo kawaweza kweli.
 
Kufanya trial match na Pan African ndiyo malengo makubwa kuelekea CAF CL ? Aliyeawaroga Utopolo kawaweza kweli.
Nani kasema kufanya friendly match ni jambo la msingi kwa timu kubwa.?

Tumia walau asilimia 25 ya mental strength yako, utagundua kuwa kila aliwazalo mjinga ndilo linalo mtokea.
 
Back
Top Bottom