kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Haya majezi yana quality mbovu sana! Hata wakivaa tu kwanza hayawapendezi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya majezi yana quality mbovu sana! Hata wakivaa tu kwanza hayawapendezi!
Huo ndiyo ujinga unaowapofusha macho sasa hivi kwenye CAF ratings hata Namungo wako juu wewe unaleta mambo ya 47 leo hii?Mabingwa mara 27 wa Kihistoria. Unasema habari gani kuhusu Ubingwa eti.?
Umeupa za uso huo msukule.Hata Mr. Nice Ni tajiri wa kihistoria...ila saivi anakata mauno bar huko Kenya apate Hela ya pango
Mlivyo misukule hata hamjui kuwa biashara ya jezi ni ya Fred, auze asiuze Simba hela yake iko pale pale,nyie GSM akiuza Tsh. 35,000/- mnaambulia 1,300/- kweli mazombie nyieBabra huyo kwenye space kule twitter ndio kawapiga kamba hiyo [emoji23]
Uto kwenye ubora wako.27 fois champions historiques de la Premier League tanzanienne.
Si ukashabikie taarabu wenzio utopolo hizo rangi za kiumeniMajezi yana mirangi rangi kama kachumbari kwenye bakuli
Makorokoro fc
Mlivyo misukule hata hamjui kuwa biashara ya jezi ni ya Fred, auze asiuze Simba hela yake iko pale pale,nyie GSM akiuza Tsh. 35,000/- mnaambulia 1,300/- kweli mazombie nyieView attachment 1925199
MakorokoroniSi ukashabikie taarabu wenzio utopolo hizo rangi za kiumeni
Makorokoroni
CAF ratings ni za kipumbavu.Huo ndiyo ujinga unaowapofusha macho sasa hivi kwenye CAF ratings hata Namungo wako juu wewe unaleta mambo ya 47 leo hii?
☑️Huyu mke wetu yanga ana wivu sana kwa mumewe
Misukule bwana![emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]!!mshafeli kaeni hvyo hvyo kama hakuna maana basi msishiriki hata kucheza!mmefeli mbayaa!CAF ratings ni za kipumbavu.
Timu kubwa zinamalengo makubwa, sijawahi sikia Arsenal(na undezi wao waote ule) wanataka kushiriki UEFA CL ili wapande kwenye ratings za UEFA..?
Mentality ya kipuuzi kabisa.
Kufanya trial match na Pan African ndiyo malengo makubwa kuelekea CAF CL ? Aliyeawaroga Utopolo kawaweza kweli.CAF ratings ni za kipumbavu.
Timu kubwa zinamalengo makubwa, sijawahi sikia Arsenal(na undezi wao waote ule) wanataka kushiriki UEFA CL ili wapande kwenye ratings za UEFA..?
Mentality ya kipuuzi kabisa.
Nani kasema kufanya friendly match ni jambo la msingi kwa timu kubwa.?Kufanya trial match na Pan African ndiyo malengo makubwa kuelekea CAF CL ? Aliyeawaroga Utopolo kawaweza kweli.
Vijana wengi hamjui maana ya friendly Matches. Maengo ya mechi za kirafiki io kushinda "KUMBUKA" hilo.Tukae hapaView attachment 1925567