Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Tukusaidieje Mama J Fc?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani hamna jipya mzee na nyie ka copying jezi zenu ka shamba la ufutaYaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia.
Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga.
Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Sasa kuna mtu mzima atavaa kweli na akili zake ile jezi.ilobeba watu wa kuzimu nani.avae..?Kwa hiyo ulitaka akili za watu wazima zilingane na watoto kweli..?
Yote haya hayatasaidia kuiondoa Rivers United ya Nigeria kwenye michuano ya CAF CL ambapo mechi ipo wiki hii ijayo tuYaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia. Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga. Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Misukule huwa inaishi gizani haiwezi kuona kwenye mwanga halisiHuna macho hata ya kujua utofauti hapo yaani hiyo moja zig zag zake zipo muelekeo wa kulia nyingine zig zag zake zipo kuelekea kushoto. Hivi.nyie watu hamna macho ya kuchambua mambo. Kazi nzuri sana hii huu uzi wa mnyama ni balaa mautopolo mnajitekenya tu bure..
Yaani mnaweweseka na ile mikusanyiko ya wafu huko.kuzimu aka utopoloni.
Duniani.kazi rahisi ni kukosoa tu
Hawawezi kukubali ukweli hapa. Ila mioyoni mwao wanajua ukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1308][emoji1308]Misukule huwa inaishi gizani haiwezi kuona kwenye mwanga halisi
Tatizo wana-force tufanane. Hahahahaha.Dah! Hadi raha. Yaani Mwananchi mmoja tu, halafu anapambana mbumbumbu kama 20 hivi!!
Yaani umenikumbusha zile muvi za enzi hizo za Kichina!! Master mmoja tu, anavilaza chini vichwa 50 tena vyenye silaha tofauti, ndani ya muda mfupi!! Safi sana!! 💪
Endelea kuwapiga za uso.
Mabingwa mara 27 wa Kihistoria. Unasema habari gani kuhusu Ubingwa eti.?Mpira umewashinda mumehamia kwenye vivazi sasa,hakika nyie ni nyani wa pori la Utopolo kama alivyosema Luc.View attachment 1924758
Hata Mr. Nice Ni tajiri wa kihistoria...ila saivi anakata mauno bar huko Kenya apate Hela ya pangoMabingwa mara 27 wa Kihistoria. Unasema habari gani kuhusu Ubingwa eti.?
ndo wale wale waliocheza na Zanaco, au kuna wengine wameongeza nguvu?Sisi sio wachezaji. Wachezaji wako Avec Town Kigamboni wanakula Jalamba.
Babra huyo kwenye space kule twitter ndio kawapiga kamba hiyo 😂Ni nani amewaambua kuwa simba wameuza jezi 42,000 ndani ya saa 8?
Fred au Kamwaga?
kilichotoka mapumnzikoKwani ushawahi kuwa na kikosi cha aina gani..?