Simba SC msishindane na Yanga SC mnapoteza concetration kwenye Ubunifu

Simba SC msishindane na Yanga SC mnapoteza concetration kwenye Ubunifu

Yaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia.

Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga.

Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Duniani hamna jipya mzee na nyie ka copying jezi zenu ka shamba la ufuta
 
Hawawez wakakubali nani.avae mikusanyiko ya wafu. Nina wadogo.zangu ni yanga kinoma wamasema hawatanunua hizo jezi za uto maana hazijawafurahisha
Kwa hiyo ulitaka akili za watu wazima zilingane na watoto kweli..?
 
Yaani jezi zenu zote 3 zimekopiwa. ukianza na ille white mmechukua Tunisia. Halafu ile nyekundu mmeiga sleeves za Yanga. Hii nayo Fred kachukua texture kutoka kwenye template za Adidas store akazibandika.
Yote haya hayatasaidia kuiondoa Rivers United ya Nigeria kwenye michuano ya CAF CL ambapo mechi ipo wiki hii ijayo tu
 
Huna macho hata ya kujua utofauti hapo yaani hiyo moja zig zag zake zipo muelekeo wa kulia nyingine zig zag zake zipo kuelekea kushoto. Hivi.nyie watu hamna macho ya kuchambua mambo. Kazi nzuri sana hii huu uzi wa mnyama ni balaa mautopolo mnajitekenya tu bure..


Yaani mnaweweseka na ile mikusanyiko ya wafu huko.kuzimu aka utopoloni.

Duniani.kazi rahisi ni kukosoa tu
Misukule huwa inaishi gizani haiwezi kuona kwenye mwanga halisi
 
Dah! Hadi raha. Yaani Mwananchi mmoja tu, halafu anapambana mbumbumbu kama 20 hivi!!

Yaani umenikumbusha zile muvi za enzi hizo za Kichina!! Master mmoja tu, anavilaza chini vichwa 50 tena vyenye silaha tofauti, ndani ya muda mfupi!! Safi sana!! 💪


Endelea kuwapiga za uso.
Tatizo wana-force tufanane. Hahahahaha.
 
Yote haya hayatasaidia kuiondoa Rivers United ya Nigeria kwenye michuano ya CAF CL ambapo mechi ipo wiki hii ijayo tu
Sisi sio wachezaji. Wachezaji wako Avec Town Kigamboni wanakula Jalamba.
 
Hata Mr. Nice Ni tajiri wa kihistoria...ila saivi anakata mauno bar huko Kenya apate Hela ya pango
Ni nani alimtangaza kuwa Mr Nice ndiye tajiri..? Inaonekana ulikuwa unapenda sana kusoma gazeti la SANI.
 
Back
Top Bottom