Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
ManulaTatizo ni viongozi kuingilia benchi la ufundi.. Wanajua wazi wachezaji wengi wakigeni wa mwaka huu "wametupiga"" ila wanalazimisha wacheze.Asante Mungu leo kawaumbua kwa kuumia Kanoute,Mmeona mambo waliyoyafanya Muhilu,Mkude na Morrison. Kuanzia sasa kikosii tunapanga sisi wanachama mpaka mtakapopata mwalimu anaeleweka. Mechi ijayo kikosi ni ..Manula, Kapombe,Mohamed,Wawa, Onyango,Mudhamiru,Muhilu,Mkude,Kagere,Bwalya na Morrison
Mwaka uliopita mechi za mwanzoni mlisemaga hivi hivi.Nafikiri tutaendelea kuelewana mdogo mdogo kwa wale mashabiki oya oya wa simba ambao ni mbumbumbu wa kuiangalia timu yao kiufundi Ina matatizo gani, sasa aya yanayotokea sio kwa bahati mbaya bali ni uwezo wa timu ya simba uko chini sana, na Kama awatashtuka kurekebisha mambo na kuendelea kujifanya wako vizuri uwanjani wataendelea kupokea matokeo Kama aya, Sijaona clear chance ata moja ambayo simba wameitengeneza kufunga goli, achana na mipira ya kibu Denis ambayo uwezi kusema ni clear chance kwakuwa alikuwa amezongwa na mabeki, Simba awa awa walikuwa wanaizodoa yanga kwamba uwanja wa taifa yanga inafunga kagoli kamoja kwanini, lakini wao wamepata goli la penalti na Leo wameshindwa kupata ata ilo la penalti licha ya kucheza na timu pungufu mda mrefu, Mkubali mkatae simba iko gonjwa
Nashukuru mkuu, nakusamehe kwasababu sio akili yako bali Simba imekuvuruga.Ubongo wako haujajaa ndio maana umekurupuka,nimeandika kuhusu kocha mkuu kulitawala benchi la ufundi na mbinu na mipango yake ndio iwe msingi wa benchi na sio kufika na kuanza kuelekezwa na kocha msaidizi,uwe unatafakali kwanza kabla ya kujibu,au wewe ni mke wa matola
Endelea kukaririshwa na ndicho kinachowaponza mpaka sasa, mmekariri kuingia uwanjani na matokeo yenu mfikoni mkijidai mna timu nzuri but kinachoendelea kuwakuta mpaka mtatubu, yanga ya msimu uliopita usilinganishe na yanga hii ni sawa na kulinganisha Njombe mji na barcelona,Mwaka uliopita mechi za mwanzoni mlisemaga hivi hivi.
Msimu uliopitaNafikiri tutaendelea kuelewana mdogo mdogo kwa wale mashabiki oya oya wa simba ambao ni mbumbumbu wa kuiangalia timu yao kiufundi Ina matatizo gani, sasa aya yanayotokea sio kwa bahati mbaya bali ni uwezo wa timu ya simba uko chini sana, na Kama awatashtuka kurekebisha mambo na kuendelea kujifanya wako vizuri uwanjani wataendelea kupokea matokeo Kama aya.
Sijaona clear chance ata moja ambayo simba wameitengeneza kufunga goli, achana na mipira ya kibu Denis ambayo uwezi kusema ni clear chance kwakuwa alikuwa amezongwa na mabeki.
Simba awa awa walikuwa wanaizodoa yanga kwamba uwanja wa taifa yanga inafunga kagoli kamoja kwanini, lakini wao wamepata goli la penalti na Leo wameshindwa kupata ata ilo la penalti licha ya kucheza na timu pungufu mda mrefu, Mkubali mkatae simba iko gonjwa
Inaniuma sana nikifikira huwaga nalia maana hata watoto wadogo wanatucheka sana ( Mbao nao wanatamani wakutane na mnyama wamuadhibu hapo kidogo) eti Kila timu inaitamani simbaManula-
Kapombe
Zimbwe
Wawa
Onyango
Mkude
Mzamiru
Bwalya
Kagere
Kibu
Muhilu
Mtu kama Kibu nashindwa kuelewa kwa nini yupo simba.Litaendelea kuwa tawi na wao wameona kinachobebwa akibebeki wakaamua kukomaa nao tu, mchezaji Kama anawekewa mpira afunge anashindwa wangefanyaje sasa