GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama waliweka matarajio kwa Manzoki jamaa kapata pancha unafanyaje? Ila sajili nyingibza msimu huu ni hovyo. Ni phiri pekee inaonekana ndio walipatia. Okrah anakimbia kimbia tu...Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Okrah yeye ni mambio tu na uchoyo kama sakho.Kama waliweka matarajio kwa manzoki jamaa kapata pancha unafanyaje? Ila sajili nyingibza msimu huu ni hovyo. Ni phiri pekee inaonekana ndio walipatia. Okrah anakimbia kimbia tu...
Ukinihakikishia kuwa umetazama performance ya Saido katika mechi zake za ligi hivi karibuni, nitaungana nawe 100% kuwa umri wake ni tatizo. Lakini kama unaandika kwa kufuata mkumbo tu bila kumuangalia, basi wewe ndio utakuwa una tatizo... umri na performance ya Saido kwa sasa ni changamoto kwa timu zenye pressure ya kushinda kila mechi kama Simba na Yanga.
Mkuu mtakie saidoo aperform game 2 akiwa na makolo then utakuja kusema hapa hao kina mwasapili,michael aidan watakamvyolia deep(kumpania) na umri ule kila game injury na umri uleUkinihakikishia kuwa umetazama performance ya Saido katika mechi zake za ligi hivi karibuni, nitaungana nawe 100% kuwa umri wake ni tatizo. Lakini kama unaandika kwa kufuata mkumbo tu bila kumuangalia, basi wewe ndio utakuwa una tatizo
GENTAMYCINE my bro, Merry Christmas.Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Simba ikisajili wachezaji 10 utakuta 8 ni mizigo 1 ni tia maji tia maji na 1 ndo mchezaji, na hii inaonesha jinsi gani kamati ya scouting na usajili ambavyo haipo serious au kama ipo serious basi haipo professional kabisa
Ukitaka kuelewa nachosema jaribu kuangalia performance na output ya wachezaji waliosajiliwa msimu huu simba sc
Kapama
Okwa
Kyombo
Ottara
Mzungu
V. Akipan
Okrah
M.phili
Kati ya hao ukimtoa phili na Okrah kwa mbali waliobaki ni mizigo na sasa wanaenda kuogeza mzigo mwingine maana umri na performance ya Saido kwa sasa ni changamoto kwa timu zenye pressure ya kushinda kila mechi kama Simba na Yanga.
Nakubaliana nawe 100% Kiongozi wangu. Kifo cha Mwamba ( Mngwena ) Mwenye Simba SC yake Zakaria Hanspoppe Kumetuathiri pakubwa mno Kiusajili Simba SC. Marehemu alikuwa na Jicho la Kumjua na Kuona Mchezaji mzuri wa Kuifaa na Kuipambania Klabu ya Simba SC. Hakika tutamkumbuka daima.Simba ikisajili wachezaji 10 utakuta 8 ni mizigo 1 ni tia maji tia maji na 1 ndo mchezaji, na hii inaonesha jinsi gani kamati ya scouting na usajili ambavyo haipo serious au kama ipo serious basi haipo professional kabisa
Ukitaka kuelewa nachosema jaribu kuangalia performance na output ya wachezaji waliosajiliwa msimu huu simba sc
Kapama
Okwa
Kyombo
Ottara
Mzungu
V. Akipan
Okrah
M.phili
Kati ya hao ukimtoa phili na Okrah kwa mbali waliobaki ni mizigo na sasa wanaenda kuogeza mzigo mwingine maana umri na performance ya Saido kwa sasa ni changamoto kwa timu zenye pressure ya kushinda kila mechi kama Simba na Yanga.
Merry Christmas na Kwako pia Rafiki. Uko sahihi kuna Matatizo mengi ndani ya Administration ya Simba SC ambayo pia yamewaathiri mpaka Wachezaji wa Timu.GENTAMYCINE my bro, Merry Christmas.
Timu fukara isiyo hata na basi la kubeba wachezaji unategemea isajili wachezaji wa aina gani?
umekuwa nabiiMkuu mtakie saidoo aperform game 2 akiwa na makolo then utakuja kusema hapa hao kina mwasapili,michael aidan watakamvyolia deep(kumpania) na umri ule kila game injury na umri ule