Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sio wazungu wote lugha yao ni KingerezaHuyo atakua mzungu wa Kazuramimba. Mzungu gani ana English broken ivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wazungu wote lugha yao ni KingerezaHuyo atakua mzungu wa Kazuramimba. Mzungu gani ana English broken ivyo
Naungana na mawazo yako yote isipokuwa maneno matatu ya mwisho kwenye maelezo yako hayajanibariki kumuongelea binadamu.Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Kwa iyo wewe unaamini huyo Dejan mchana nyavu yule aliyewika na LunyasiSio wazungu wote lugha yao ni Kingereza
Sio wazungu wote lugha yao ni KingerezaHuyo atakua mzungu wa Kazuramimba. Mzungu gani ana English broken ivyo
Naona unachanganya kati ya Okra na Okwa.Okrah yeye ni mambio tu na uchoyo kama sakho.
Naomba Radhi kama yamekukwaza Kiongozi wangu na Rafiki yangu mkubwa hapa JamiiForums.Naungana na mawazo yako yote isipokuwa maneno matatu ya mwisho kwenye maelezo yako hayajanibariki kumuongelea binadamu.
Simba wanahitaji think tank kama GENTAMYCINE, sijui kwanini hawajaamua kuzitumia rasilimali hizi na kuziacha zikitema madini tu hapa JF?Merry Christmas na Kwako pia Rafiki. Uko sahihi kuna Matatizo mengi ndani ya Administration ya Simba SC ambayo pia yamewaathiri mpaka Wachezaji wa Timu.
Hela watapata wapi akina kigwa wameshamkoromea tajiri na ajenti wa tajiri aliyezuuia mianya ya upigaji kwenye timu ,kuzuia fedha za wazee wa timu, fedha za waganga wa timu nk wameshamzuria figisu figisu mpaka amesema January anaachia ngazi?Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Hujui kuwa Tanzania Think Tanks ndiyo Wanadharaulika, Wanapuuzwa na ndiyo Masikini wakubwa ila wale Wajanja Wajanja ( Samjo Samjo ) na Dhaifu Kifikra ndiyo Wanakubalika na Wanaongoza kwa Utajiri na Maisha mazuri?Simba wanahitaji think tank kama GENTAMYCINE, sijui kwanini hawajaamua kuzitumia rasilimali hizi na kuziacha zikitema madini tu hapa JF?
TrueHujui kuwa Tanzania Think Tanks ndiyo Wanadharaulika, Wanapuuzwa na ndiyo Masikini wakubwa ila wale Wajanja Wajanja ( Samjo Samjo ) na Dhaifu Kifikra ndiyo Wanakubalika na Wanaongoza kwa Utajiri na Maisha mazuri?
Issue sio kusajili issue hela,siku hamna wachezaji wanaocheza kwa moyo, juzi Chama kwenye Insta live anadai alosema mkataba wale unaisha June 2023,je hela mnayo. Sasa kuna Yusuph Bakheresa hamtumii dalali anakuja mwenyewe na mzigo wake, we unazani Chama atakataa akipewa mzigo mrefu na mkataba wa miaka mitatu?Nauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Hata uyo okrah sijawahi kumwelewa kivile anakimbia kimbia tu uwanjani ni mchezaji machachari ila hana hatari yoyoteSimba ikisajili wachezaji 10 utakuta 8 ni mizigo 1 ni tia maji tia maji na 1 ndo mchezaji, na hii inaonesha jinsi gani kamati ya scouting na usajili ambavyo haipo serious au kama ipo serious basi haipo professional kabisa
Ukitaka kuelewa nachosema jaribu kuangalia performance na output ya wachezaji waliosajiliwa msimu huu simba sc
Kapama
Okwa
Kyombo
Ottara
Mzungu
V. Akipan
Okrah
M.phili
Kati ya hao ukimtoa phili na Okrah kwa mbali waliobaki ni mizigo na sasa wanaenda kuogeza mzigo mwingine maana umri na performance ya Saido kwa sasa ni changamoto kwa timu zenye pressure ya kushinda kila mechi kama Simba na Yanga.
Naunga mkono hojaNauheshimu Uongozi wangu wa Simba SC ila GENTAMYCINE nikiulizwa naonaje Usajili wa Saido Ntibanzokinza jibu langu nitatoa haraka tu kuwa hakuistahili Kusajiliwa Simba SC na Hadhi ya Simba SC siyo ya Kuokota Makapi Makapi.
Kweli kabisaAliyemsajili saidoo ni mbumbumbu!
Ndiyo ukweli ulivyoSaidoo ndo mana kapewa mwaka mmoja na nusu,sababu ya umri wake.
Ana asist 6 ligi kuu na goli 4 hivi na uzee wakeSimba ikisajili wachezaji 10 utakuta 8 ni mizigo 1 ni tia maji tia maji na 1 ndo mchezaji, na hii inaonesha jinsi gani kamati ya scouting na usajili ambavyo haipo serious au kama ipo serious basi haipo professional kabisa
Ukitaka kuelewa nachosema jaribu kuangalia performance na output ya wachezaji waliosajiliwa msimu huu simba sc
Kapama
Okwa
Kyombo
Ottara
Mzungu
V. Akipan
Okrah
M.phili
Kati ya hao ukimtoa phili na Okrah kwa mbali waliobaki ni mizigo na sasa wanaenda kuogeza mzigo mwingine maana umri na performance ya Saido kwa sasa ni changamoto kwa timu zenye pressure ya kushinda kila mechi kama Simba na Yanga.
Simba wanahitaji think tank kama GENTAMYCINE, sijui kwanini hawajaamua kuzitumia rasilimali hizi na kuziacha zikitema madini tu hapa JF?